Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

binafsi nampongeza rais kwa kuwateua vijana wenzetu katika nafasi hizi za wakuu wa wilaya ingawa wengi ni makada wa chama tawala. pia kuna jamaa za viongozi wastaafu ama waliopo madarakani. cha msingi tuwape muda kwanza juu ya utumishi wao kwa umma wa watanzania. tuwatakie kila la heri ..
 
binafsi nampongeza rais kwa kuwateua vijana wenzetu katika nafasi hizi za wakuu wa wilaya ingawa wengi ni makada wa chama tawala. pia kuna jamaa za viongozi wastaafu ama waliopo madarakani. cha msingi tuwape muda kwanza juu ya utumishi wao kwa umma wa watanzania. tuwatakie kila la heri ..
Ila naona vijana wengi wa enzi ya Kikwete wamepigwa chini wakiwemo akina Mzindakaya, Mpogoro, Kirigini, Liana, Muhingo n.k Hivyo vijana wanapopata hizi nafasi wajitathimini sana vinginevyo watakuwa wa miaka miwili tu!
 
Mgongano wa kimaslahi (Conflict of Interest), kati ya Rais na huyo mtoto wake wa kumlea. Rais atashindwa kumuwajibisha kwa sababu ana maslahi naye ya kimalezi.
 
Akiwa mtoto wa JPM kama ana sifa ndiyo asiteuliwe. Mmeambiwa "Aidha, nafasi 78 za uteuzi wa Wakuu wa wilaya zimejazwa na watanzania wengine ambao wameteuliwa kwa mara ya kwanza wengi wao wakiwa ni vijana, wenye elimu ya kutosha na uzoefu katika maeneo mbalimbali".
 
Shida ipo wapi dogo kasoma akili zipo uwezo ni mkubwa unahofu nini?
 
Wafia chama lazima tutetee kwa nguvu zote,
Baba alikua naye ujenzi sasa kahama naye huku,
Kwa sasa ni zamu yao
 
Akiwa mtoto wa JPM kama ana sifa ndiyo asiteuliwe. Mmeambiwa "Aidha, nafasi 78 za uteuzi wa Wakuu wa wilaya zimejazwa na watanzania wengine ambao wameteuliwa kwa mara ya kwanza wengi wao wakiwa ni vijana, wenye elimu ya kutosha na uzoefu katika maeneo mbalimbali".
hebu taja sifa za kuwa mkuu wa wilaya tuzijue
 
Mvinyo ni uleule tuu ila umewekwa katika glasi mpyaaa.
 
Suala jee ni MTANZANIA jengine elimu ya mruhusu basi hakuna shida
 
Mkuu inabidi urudi darasani hujui nini maana ya conflict of interest. Mkuu wa wilaya ni mwakilishi wa rais wilayani. Unapozungumzia conflict of interest always Ina involves two parties. Sasa hiyo conflict of interest ni Kati ya Nani na nani
Kati ya mteuliwa na mteuzi!
 
Back
Top Bottom