Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Usigeuze JF kuwa chungu cha majungu! Ongelea uwezo wake, sio uhusiano wake...ungejisikiaje kama ungekuwa wewe unaomba kazi sehemu afu unanyimwa simply because wewe una undugu na rais...tuletee CV na track record ya performance sio mijungu
conflict of interest,,ukielewa maana ya neon hilo hungetoa comment hiyo
 
''The tragedy of Africa is that Africans are in the business of canonizing thieves and demonizing its saints.'' - Prof. PLO Lumumba
 
Sifa zilizotajwa hapa ni kuwa na masters,jee hiyo ni sifa ya kuwa mkuu wa wilaya? Pia sifa nyingine ni kugombea ubunge viti maakumu, jee hiyo nayo ni sifa ya kufaa kuwa mkuu wa wilaya? Au hiyo ya kuwa HR Tanroad, tujiukize aneingia Tanroad mwaka gani na kaingiaje maana tunajua Tanroad iko chini ya wizara gani na wizara hiyo ilikuwa chini ya nani.
Kuna makosa makubwa yanafanyika kwa kufanya U DC kama kazi ya kutokea wakati kazi hiyo ni muhimu sana hasa kwa maeneo ya vijijini na inahitaji mtu mwenye busara nyingi kwani ina madaraka makubwa hata ya kunweka mtu korokoroni.
Binafsi sipingi kupewa uDC huyo kijana lakini kama anamahusiano na mteuzi basi lazima awe na sifa na uzoefu wa ziada usio na shaka vinginevyo hiyo ni dosari kubwa kwa mteuzi.
Wachangiaji wengi wanaonyesha kubisha kwa ushabiki tuu na kutoa mifano ya Museveni na Marais watangulizi, hayo ni makosa kosa kulilinganisha na kosa

Wakuu wa wilaya kama wateule wengine wa rais serve at the pleasure of the president. Rais ana dira na viwango alivyopanga. Katika vigezo vitatu alivyo sema katibu mkuu kiongozi sijaona kugombea ubunge maalum kama kigezo. You are not telling the truth.

Suala la conflicts of interest ni legitimate argument lakini inanonekata Happy ana sifa za kutosha. Niambie ktk vigezo vilivyotajwa na Katibu Mkuu Kiongozi ni kigezo gani hana? Speaking of kuwa na Masters degree; yes, I will take that as an accomplishment.
 
Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.

Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happy es Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura

...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
Mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa ajibidiisheje? Wakati hivyo ni vyeo feki! Havina faida yoyote, vinalitia taifa hasara.! Upweke wa kukosa kazi unawafanya kuwa vituko kwenye jamii. Utaskia mkuu wa wilaya kakesha usiku akikamata maDJ kwenye bar. Vyeo hivi hakika vinahitaji kufutwa.
 
dah kumbe mh raisi ana moyo safi sana amejitolea kumlea binti na akamsomesha mpk masters kwa hili mh raisi awe mfano wakuigwa
 
Chakaza kwani wale watoto wa museven wana shida gani kama ishu ni qualification tu, sie tunasema ile kulelewa tu na mteuzi imemuondolea sifa kabisa. La sivyo hakuna tofauti na hao akina museven
 
Wakuu wa wilaya kama wateule wengine wa rais serve at the pleasure of the president. Rais ana dira na viwango alivyopanga. Katika vigezo vitatu alivyo sema katibu mkuu kiongozi sijaona kugombea ubunge maalum kama kigezo. You are not telling the truth.

Suala la conflicts of interest ni legitimate argument lakini inanonekata Happy ana sifa za kutosha. Niambie ktk vigezo vilivyotajwa na Katibu Mkuu Kiongozi ni kigezo gani hana? Speaking of kuwa na Masters degree; yes, I will take that as an accomplishment.
Kwani wale watoto wa marais wa angola na uganda hawakua na sifa au, kwann dunia nzima imewashangaa
 
Mtoa uzi huna taarifa za kutosha, na hivyo sioni tija kuamini chochote ulichoandika. Mfano unasema 2015 hakugombea viti maalumu? Aligombea na alifika mpaka ngazi ya taifa dodoma. Kama mh JPM angetaka kumbeba alishindwa nini? Kimsingi sifa za U-DC Happy anazo hivyo acha majungu. Naona unajitesa "why nt me?"
 
Wakuu wa wilaya kama wateule wengine wa rais serve at the pleasure of the president. Rais ana dira na viwango alivyopanga. Katika vigezo vitatu alivyo sema katibu mkuu kiongozi sijaona kugombea ubunge maalum kama kigezo. You are not telling the truth.

Suala la conflicts of interest ni legitimate argument lakini inanonekata Happy ana sifa za kutosha. Niambie ktk vigezo vilivyotajwa na Katibu Mkuu Kiongozi ni kigezo gani hana? Speaking of kuwa na Masters degree; yes, I will take that as an accomplishment.
Bado hujaweka wazi, nafasi ya kazi aliyopata kufanya ni hiyo ya HR wa Tanroads kulingana na Maelezo yaliyopo hapa. Na huo ulikuwa ndani ya wizara ya "baba" yake na sii nafasi ya kisiasa. Nyingine ni "kugombea" ubunge na kushindwa.
Tupeni sasa katika huo u HR nini kikubwa kilikuwa kinafanyika kumfanya awe bora kwa sifa mnazo mpa? Labda hili tukilipata kutoka kwa watumishi wa Tanroads litatuweka sawa ili kuondoa hiyo sintofahamu inayosababisha wamlinganishe na Museveni ambaye hana rekodi nzuri.
Happy atafanya kazi yake kwa ufanisi ikiwa haya yatawekwa wazi na kumuondoa kwenye kundi la "mtoto wa baba"
 
Kwani wale watoto wa marais wa angola na uganda hawakua na sifa au, kwann dunia nzima imewashangaa

Dos Santos na Museveni wanajulikama kuwa ni watawala wa ki imla. US Attorney General wa John F. Kennedy alikuwa mdogo wake Robert F Kennedy. Alipoteuliwa hakuwa na uzoefu wala sifa za kuwa mwanasheria mkuu but he was very successful in fighting against organized crime. How do you explain that? Was JFK a dictator?
 
Kabla hatujamwangalia Happy tuanze na Rose Kamili, Atropia, Ruth Mollel ............
Kipimo cha ufanyaji kazi wa ccm ni chadema kwa muktadha huu, si ndio!!!!?
 
Back
Top Bottom