Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Ukuu wa wilaya hauangalii elimu yako,uDC ni position ya kisiasa zaidi kwasababu sio mtendaji yeye ni mtekelezaji tu.Hata mm sioni shida wakati ni mtoto wa kumlea na Elimu anayo. Shida ni wale wakubebwa kwa kuangalia sura na makalio.