conflict of interest,,ukielewa maana ya neon hilo hungetoa comment hiyoUsigeuze JF kuwa chungu cha majungu! Ongelea uwezo wake, sio uhusiano wake...ungejisikiaje kama ungekuwa wewe unaomba kazi sehemu afu unanyimwa simply because wewe una undugu na rais...tuletee CV na track record ya performance sio mijungu
Sifa zilizotajwa hapa ni kuwa na masters,jee hiyo ni sifa ya kuwa mkuu wa wilaya? Pia sifa nyingine ni kugombea ubunge viti maakumu, jee hiyo nayo ni sifa ya kufaa kuwa mkuu wa wilaya? Au hiyo ya kuwa HR Tanroad, tujiukize aneingia Tanroad mwaka gani na kaingiaje maana tunajua Tanroad iko chini ya wizara gani na wizara hiyo ilikuwa chini ya nani.
Kuna makosa makubwa yanafanyika kwa kufanya U DC kama kazi ya kutokea wakati kazi hiyo ni muhimu sana hasa kwa maeneo ya vijijini na inahitaji mtu mwenye busara nyingi kwani ina madaraka makubwa hata ya kunweka mtu korokoroni.
Binafsi sipingi kupewa uDC huyo kijana lakini kama anamahusiano na mteuzi basi lazima awe na sifa na uzoefu wa ziada usio na shaka vinginevyo hiyo ni dosari kubwa kwa mteuzi.
Wachangiaji wengi wanaonyesha kubisha kwa ushabiki tuu na kutoa mifano ya Museveni na Marais watangulizi, hayo ni makosa kosa kulilinganisha na kosa
Mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa ajibidiisheje? Wakati hivyo ni vyeo feki! Havina faida yoyote, vinalitia taifa hasara.! Upweke wa kukosa kazi unawafanya kuwa vituko kwenye jamii. Utaskia mkuu wa wilaya kakesha usiku akikamata maDJ kwenye bar. Vyeo hivi hakika vinahitaji kufutwa.Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.
Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happy es Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura
...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
Yeah si tumefundishwa na Mkuu ngoja nizame bushi nikasake wa kuwabebaHapa kila MTU mahali ulipo wewe vuta ndugu yako weka ukiulizwa sema tatizo ni mfumo!
Kwani wale watoto wa marais wa angola na uganda hawakua na sifa au, kwann dunia nzima imewashangaaWakuu wa wilaya kama wateule wengine wa rais serve at the pleasure of the president. Rais ana dira na viwango alivyopanga. Katika vigezo vitatu alivyo sema katibu mkuu kiongozi sijaona kugombea ubunge maalum kama kigezo. You are not telling the truth.
Suala la conflicts of interest ni legitimate argument lakini inanonekata Happy ana sifa za kutosha. Niambie ktk vigezo vilivyotajwa na Katibu Mkuu Kiongozi ni kigezo gani hana? Speaking of kuwa na Masters degree; yes, I will take that as an accomplishment.
Tanroad yenyewe aliipataje?
uwezo gani huo angekuwa na uwezo asingepigwa chini viti maalum hana huko tanroad ameingia kwa mgongo wa baba yake
Ni kuwa mwanachama wa ccm ,ukuu wa wilaya ni position ya kichama zaidi.hebu taja sifa za kuwa mkuu wa wilaya tuzijue
Bado hujaweka wazi, nafasi ya kazi aliyopata kufanya ni hiyo ya HR wa Tanroads kulingana na Maelezo yaliyopo hapa. Na huo ulikuwa ndani ya wizara ya "baba" yake na sii nafasi ya kisiasa. Nyingine ni "kugombea" ubunge na kushindwa.Wakuu wa wilaya kama wateule wengine wa rais serve at the pleasure of the president. Rais ana dira na viwango alivyopanga. Katika vigezo vitatu alivyo sema katibu mkuu kiongozi sijaona kugombea ubunge maalum kama kigezo. You are not telling the truth.
Suala la conflicts of interest ni legitimate argument lakini inanonekata Happy ana sifa za kutosha. Niambie ktk vigezo vilivyotajwa na Katibu Mkuu Kiongozi ni kigezo gani hana? Speaking of kuwa na Masters degree; yes, I will take that as an accomplishment.
Kwani wale watoto wa marais wa angola na uganda hawakua na sifa au, kwann dunia nzima imewashangaa
Kipimo cha ufanyaji kazi wa ccm ni chadema kwa muktadha huu, si ndio!!!!?Kabla hatujamwangalia Happy tuanze na Rose Kamili, Atropia, Ruth Mollel ............