Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili tukio linatengenezwa halafu wanakuja kulitatua kwa mbwembwe.Viongozi wanatumia vibaya upole wa watz! Sijui wanatuonaje?
Mbona akifukuzwa haondoki nayo? Matamko yana mwisho siku hazigandiMwenye wilaya yake kashasema tabu ipo wapi.
Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu
Kama katamka hayo na ushahidi upo mpelekeni mahakamani, ndio dawa ya wavunja sheria. Acheni kulalamika tu
Naona ameamua kutangaza vita liveMkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk Halfan Haule ameagiza kung'olewa bendera zote za Chadema katika mitaa, vijiji na vitongoji vyote katika mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa... Chanzo Mwananchi
Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Hakika inashangaza sana kuona Mkuu wa Wilaya ambaye ni mlinzi wa amani anaagiza kuondolewa bendera za Chadema ktk Wilaya anayoitawala. Najiuliza baadhi ya maswali
1 Je Chadema sio chama halali
2.Hakiruhusiwi kuwa na bendera
3.Sheria inasemaje juu ya bendera za vyama
4 Je wafuasi wa Chadema wakiamua nao kushusha bendera za CCM nini kitatokea
5 Serikali inasemaje juu ya tatizo hilo.
Nashauri kama Rais anasema Watanzania tusubaguane kwa Itikadi vipi huyo Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga?
Ndio ujinga wenu huo yani hapo mtalialia mkisubiri mabeberu wawapambanie nani kakuambia duniani huko una mjomba? Hao wanangoa ni wakuanza nao mkiua hata wawili hamtasikia huo ujinga tenaBendera ziko mioyoni mwetu hayo mengine ni matambara tu.
Nguvu ya Umma itatalamaki tu.
Hakika inashangaza sana kuona Mkuu wa Wilaya ambaye ni mlinzi wa amani anaagiza kuondolewa bendera za Chadema ktk Wilaya anayoitawala. Najiuliza baadhi ya maswali
1 Je Chadema sio chama halali
2.Hakiruhusiwi kuwa na bendera
3.Sheria inasemaje juu ya bendera za vyama
4 Je wafuasi wa Chadema wakiamua nao kushusha bendera za CCM nini kitatokea
5 Serikali inasemaje juu ya tatizo hilo.
Nashauri kama Rais anasema Watanzania tusubaguane kwa Itikadi vipi huyo Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga?
Yaani hatua uliyo chukua ndiyo hiyo! Kuuliza hilo swali na inaishia hapo basi!Kwani mkuu lugha za hivyo/ubabe huo wa ma-dc hujui wamejifunzia kutoka kwa nani?
Kujua hayo hayasaidii. Chukueni hatua za kisheria kwa mambo yenye ushahidi. Kwanini mnaonaga kulalamika tu ndio suluhisho?Kwani mkuu lugha za hivyo/ubabe huo wa ma-dc hujui wamejifunzia kutoka kwa nani?
Hivi hawa vipi? Lakini tatizo ni Chadema pia kulea huu ujinga. Atoe hizo bendera pamoja na ushahidi wa amri yake wampeleke mahakamani. Waache kulialia tu
Mabeberu weusi hatimae wataondoka kwa nguvu ya ummaNdio ujinga wenu huo yani hapo mtalialia mkisubiri mabeberu wawapambanie nani kakuambia duniani huko una mjomba? Hao wanangoa ni wakuanza nao mkiua hata wawili hamtasikia huo ujinga tena