As long as quotes ziko relevant, poa tu.Nikki ni msomaji msomaji tu kama alivyo Peter Msigwa.
Ni wazee wa Quotes. Sidhani kama wana eneo lolote la specialisation.
Nikki anaweza kuwa anahojiwa masuala ya Muziki yeye akaanza kutoa quotes za Mandela au Magufuli.
Alikuomba humu JF? ebu nipatie mchongo.Nikki kashaniomba vitabu vya uchumi kusoma najua ni msomi wa uchumi kwa maana ya kwamba anafuatilia mambo ya uchumi kuyasoma, regardless ya kasoma kozi gani.
Yes tutammiss sana, maadili hayamruhusu kuingia studio kutoa wimboKwahiyo vipi kwenye kuimba atapumzika au? Tutamiss "hapo kati itanogea kati"
Hapana.Alikuomba humu JF, ebu nipatie mchongo.
Anaimba pumbaa? Humjui nikkiUtamu wake mapaja michiriziiiiii.
Ila mchizi anaimbaga pumbaaa, bora apumzikie huko kwenye siasa.
Hivi katika nyimbo zake kuna nyimbo yoyote iliyokuwa inaendana na maadili?Yes tutammiss sana, maadili hayamruhusu kuingia studio kutoa wimbo
Ebu nipatie hiyo link mkuu na mimi nikakuombe vitabu huko.Hapana.
Mimi ni mfuasi wa Mtu yoyote mwenye akili. Hata wewe ukipata akili ntakupigia sana promopromo unayo mpigia jamaa sio mchezo kwa kweli
Wewe ndio utamfukuza?Huyu atafukuzwa muda siyo mrefu, hii siyo enzi ya dikteta aige kwa Anthony Mtaka
Wewe ni boss wa nani?Eti nikki ni boss wa ocd kisarawe chee...!
Umeumia?Niki bana! Ushapata udc yanini kuendelea kujipigia debe zisizo na kichwa?kwahiyo ulipotembelea hiyo miradi ukatatua changamoto papo kwa papo au sio?
Sahihi kabisa na yote hayo anayafanyia kazi vizuri Sana.Nategemea Nikki atuongeze Kisarawe kutumia usomi wake wa uchumi.
One.
Point yako ni nini?Jokate wakati akihijiwa juzi kati hapa...
Alisema cheo cha uDC mara nyingi ni cheo cha kuongeza tu thamani ile mipango iliyopangwa na kupitishwa na serikali kuu kwa ajili ya utendaji...
Hivyo DC ni mtekelezaji tu wa maamuzi yaliyokwisha fanywa na wenye nchi...
Vitabu mbona hata hapa unaomba tu mkuu.Ebu nipatie hiyo link mkuu na mimi nikakuombe vitabu huko.
Unatakaje?Nikki ni msomaji msomaji tu kama alivyo Peter Msigwa.
Ni wazee wa Quotes. Sidhani kama wana eneo lolote la specialisation.
Nikki anaweza kuwa anahojiwa masuala ya Muziki yeye akaanza kutoa quotes za Mandela au Magufuli.
Pamoja na wewe, hutaki?Kwa pamoja na nani?! Isemee nafsi yako.
Kwa kuanzia aanzishe microfinance kwa ajili ya wajasiliamali na wakulima wadogo wadogo hasa wa mbogamboga na mazao ya misitu,utunzaji wa mazingira na uboreshaji wa makazi ya kudumu, huduma za jamii hasa Maji, Elimu na Afya.Nategemea Nikki atuongeze Kisarawe kutumia usomi wake wa uchumi.
One.