Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Msiba mzito mno kanda ya kaskazini.Dah nimeumia sana St Patrick School enzi hizo ikitwa Trust pale Sakina....Teacher na Mdau wangu wa karibu umetutoka
Poleni sana huko Mbulu pale Mascqaroda n Tlawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiba mzito mno kanda ya kaskazini.Dah nimeumia sana St Patrick School enzi hizo ikitwa Trust pale Sakina....Teacher na Mdau wangu wa karibu umetutoka
Poleni sana huko Mbulu pale Mascqaroda n Tlawi
HakikaDunia mapito.
Nimeumia sana na kulia sana kwa kifo cha Mkuu wangu wa wilaya.ephen kiukweli nimehuzinika sana kwa hiki kifo cha huyu Mama.Lucas Mwashambwa hii fursa nayo ikikupita ndo basi tena.
Pole sana! Wasiliana na SAGAI GALGANO akupeleke kwa mtaalamu wake, huu uteuzi unakuhusu.Nimeumia sana na kulia sana kwa kifo cha Mkuu wangu wa wilaya.ephen kiukweli nimehuzinika sana kwa hiki kifo cha huyu Mama.
😆😆😆😆Pole sana! Wasiliana na SAGAI GALGANO akupeleke kwa mtaalamu wake, huu uteuzi unakuhusu.
COVID-19 ni Tatizo !Kumbe kilikuwa kifaa.
Huws nawaza na kufikiri sana juu ya hawa viongozi wa Ccm, lau kama wote wange fahamu hatma ya maisha yetu wote ni kifo, hawange fanya haya wanayo fanya. Kuua watu, kutesa watu, kuhujumu mali za watu, kubri, dharau.Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe Esther Mahawe amefariki Dunia katika Hospitali ya KCMC Mkoani Kilimanjaro kwa mujibu ya taarifa za awali zilizotolewa na ndugu wake wa karibu.
RAIS SAMIA ATOA POLE
Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Songwe, Bi. Esther Alexander Mahawe, kilichotokea leo tarehe 14 Januari, 2025 katika Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro.
Nawapa pole familia ya marehemu, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, ndugu, jamaa na wote walioguswa na msiba huu.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha ya Bi. Esther na utumishi wake kwa umma ambao uliongozwa na uchapakazi hodari, ukweli na msimamo thabiti katika utendaji.
Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi. Amina.
Lissu anahusikaje? Usipomtaja hupewi malipo au ndiyo mkataba na boss wako ?Team Lissu wanalijua hilo?
Mlikuwa mnasindikizana kwa zamu?Akiwa bungeni TAL alimfaidi sana
Usikute labda ndiye kamtupia kidude mama wa watu halafu analia machozi ya mamba huyu bwege huko Mbozi familia yao inaogopwa kwa uchawi wa kuchukua watu misukule.Pole sana! Wasiliana na SAGAI GALGANO akupeleke kwa mtaalamu wake, huu uteuzi unakuhusu.
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe Esther Mahawe amefariki Dunia katika Hospitali ya KCMC Mkoani Kilimanjaro kwa mujibu ya taarifa za awali zilizotolewa na ndugu wake wa karibu.
RAIS SAMIA ATOA POLE
Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Songwe, Bi. Esther Alexander Mahawe, kilichotokea leo tarehe 14 Januari, 2025 katika Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro.
Nawapa pole familia ya marehemu, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, ndugu, jamaa na wote walioguswa na msiba huu.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha ya Bi. Esther na utumishi wake kwa umma ambao uliongozwa na uchapakazi hodari, ukweli na msimamo thabiti katika utendaji.
Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi. Aminahuyu
Huyu mama kaumwa muda mrefu alikua anapambana na kansa apumzike kwa amaniMkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe Esther Mahawe amefariki Dunia katika Hospitali ya KCMC Mkoani Kilimanjaro kwa mujibu ya taarifa za awali zilizotolewa na ndugu wake wa karibu.
RAIS SAMIA ATOA POLE
Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mkoa wa Songwe, Bi. Esther Alexander Mahawe, kilichotokea leo tarehe 14 Januari, 2025 katika Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro.
Nawapa pole familia ya marehemu, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, ndugu, jamaa na wote walioguswa na msiba huu.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha ya Bi. Esther na utumishi wake kwa umma ambao uliongozwa na uchapakazi hodari, ukweli na msimamo thabiti katika utendaji.
Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi. Amina.