TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

Mkuu najua hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alikuwa ana weredi wa kutosha wa sharia.RIP msomi ndugu mwenzangu.
 
Wewe huna tofauti na mnyama wa porini.
Wakati mnaua Mawazo, Ben Saanane, Azory Gwanda na wengineo hamkuona kwamba huo pia ni unyama kama wa mnyama wa porini, eeh? Hii chuki mliyoieneza dhidi ya Watanzania itawatesa milele, shenzi ninyi.
 
Stay home
Tufuate maagizo ya wataalam sio wana siasa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…