digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kwa akili ya kawaida haitakiwi zikosekane.
Ila kwa akili zetu ventilators zipo hospitali za rufaa za kanda na taifa tu nako pia hazitoshi. Ni pungufu kuliko vitanda vya ICU vya hizo hospitali. Ndo maana hata MNH wametoa moja tu.
Kwa kukusaidia ventilators siyo ile mitungi ya oxygen na mask zake ambazo hata zahanati zinayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.. Hawezi kupita mchana kwa sasa.Halafu huyu jamaa anapitaga alfajiri tu.
Activist HALISI wapo marekani china urusi iran etc hao wanasema vifo vinavyotokea kwa sasa ni malaria.....MBWA WW WATU WANAANGAMIA NYIE MNAPIGA MAPAMBIO TUUU!!!!!1Nahisi Twitter pamechangamka mana hao activist saivi kila kitu wao ni Covid19
Ndiyo lugha sahihi kwa kiswahili mkuu! Cv19 tuwaachie wazungu
Litabaki Sanamu la askari pale PostaR.I.P DC....Vifo mfululizo kipindi hiki
Nimesikia kuna kaugonjwa kapya kanaitwa "changamoto ya kupumua". Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.Haters watasema ni corona....RIP DC
Unauliza ndevu kwa Osama ?RIP DC
corona?
Duh. Mkuu una vinasaba vya Chato au?
Jamaa alikuwa ana weredi wa kutosha wa sharia.RIP msomi ndugu mwenzangu.
RIP mkuu wa wilayaLaiti kama mkiona wanaozika wamevaa PPE na msiba ni wa watu wachache huku magari yaliyotumika kubeba msiba ni ya Afya.
Jueni ni COVID-19.
Wakati mnaua Mawazo, Ben Saanane, Azory Gwanda na wengineo hamkuona kwamba huo pia ni unyama kama wa mnyama wa porini, eeh? Hii chuki mliyoieneza dhidi ya Watanzania itawatesa milele, shenzi ninyi.Wewe huna tofauti na mnyama wa porini.
Ma DC na Ma RC wengi wapo kwa ajili ya kuonea wapinzani, hili liko wazi! R.I.P Evodius MmandaUna uhakika ameonea yeyote??
Au ukiwa tu CCM wewe ni mwonevu??
Jamani alipata changamoto ya upumuaji...hizo takwimu atakua nazo dada ummy..usishangae idadi pia ikapunguaHivi idadi ya waliokufa kwa Covid-19 bado 10 tu!?
sio corona ni changamoto ya kupumuaHaters watasema ni corona....RIP DC