TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advo Evord Mmanda afariki Dunia alfajiri ya leo.

Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.

Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.

Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.

2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.

Stay tuned...
Apumzike mahala pema Wakili Evod Mmanda
 
View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advo Evord Mmanda afariki Dunia alfajiri ya leo.

Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.

Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.

Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.

2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.

Stay tuned...
R. I. P Mmanda . Muwe mnakumbuka Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi. Muachage mashauzi.

Naona CCM wanapukutika kwa kasi ya mwanga wa jua. Wiki tu vigogo kama sita wamekata roho.
 
Nimekuwa perplexed huyu mtu nilimsikia wapi! Ulipoandika kuwa ni wakili, nikakumbuka alikuwa na vipindi kwenye TV vya sheria. Kumbe alishakuwa DC! Ni CCM kumbe, and if that is the case kama kawaida ya CCM amewaonea watu wengi! tangulia kwenye hukumu ya haki! Huko kila mmoja atabeba mzigo wake bila Jiwe!
Kichwa chako kimeoza kama cha TL aliyehadaiwa kuichafua nchi yake kimataifa kwa maslahi ya Wakoloni ili tu ionekane Serikali ya awamu ya 5 haiheshimu haki za Binadamu wakati aliko hakuna mtu anyeweza kuitukana nchi yake kimataifa.
Umekera saaana na umeudhi sana na uloyojiombea soon utayapata. Mungu hadhihakiwi
 
Eti bila jiwe. Daah. Ila jiwe katuweza sana. Hana plan yoyote na anapenda kujitange sana .wanadai chato kuna ventilator imetoka Mwanza/ bugando
Yaani jamaa kwa plan zinazomuhusu yeye yuko vema sana
Hata akichukua mavifaa yote ya liBugando kama ikibisha hodi hapo kwake lazima aondoke tu na hizo beteri ni hatariiii!
 
Back
Top Bottom