TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

Nimekuwa perplexed huyu mtu nilimsikia wapi! Ulipoandika kuwa ni wakili, nikakumbuka alikuwa na vipindi kwenye TV vya sheria. Kumbe alishakuwa DC! Ni CCM kumbe, and if that is the case kama kawaida ya CCM amewaonea watu wengi! tangulia kwenye hukumu ya haki! Huko kila mmoja atabeba mzigo wake bila Jiwe!


Yes alikuaga kwenye vipindi vya sheria itv ! Wajicarry
 
BREAKING: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara amefariki Dunia “alikuwa na changamoto ya upumuaji”

Bakari Chijumba TZA · 2 minutes ago

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda amefariki Dunia jana saa tano usiku katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara (Ligula), Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amesema Mmanda aliugua na kulazwa kwa siku mbili na alikuwa anasumbuliwa na changamoto ya upumuaji.

“DC wa Mtwara Evod Mmanda amefariki majira ya saa tano usiku jana Hospitali ya Mkoa wa Mtwara(Ligula), ameanza kuugua juzi amelazwa kwa siku mbili na shida kubwa ni kwamba alikuwa na changamoto ya upumuaji, ni pengo kubwa alikuwa Mwanasheria mzuri na



Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advocate Evord Herman Mmanda, afariki Dunia alfajiri ya leo.

Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.

Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

View attachment 1431934

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.

Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.

2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.
View attachment 1432007
Stay tuned...
Hapo mwisho kwanini anasema stay tuned.


MUNGU amrehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... Rebecca, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, jina sahihi la kwanza la marehemu ni Evod (au kwa kirefu ni Evodius) na sio Avod kama ulivyoandika tena umerudia mara mbili kosa hilo!

Tuna haki ya kuhoji weledi wako hususan unapofanya kosa la kijinga kama hilo ukizingatia rekodi za mhusika mnazo huko huko Serikalini ambako alikuwa mtumishi. Ninyi ndio huwa "mnawapotosha" viongozi kwa kukosa umakini.
 
Waziri Jafo anasema karibu siku mbili marehemu alikuwa na matatizo ya upumuaji. Huko mtwara sijui kama kuna ventilators,kama Amana Dar imefungwa moja juzi,vipi mikoa ya pembezoni.
 
View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advocate Evord Herman Mmanda, afariki Dunia alfajiri ya leo.

Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.

Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

View attachment 1431934

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.

Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.

2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.
View attachment 1432007
Stay tuned...
Rip Wakili msomi Mmanda
 
Hizo taarifa za viongozi wao wanatoa ya nini wakati wananchi wakifa kwa corona hawatangazi

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Nimekuwa perplexed huyu mtu nilimsikia wapi! Ulipoandika kuwa ni wakili, nikakumbuka alikuwa na vipindi kwenye TV vya sheria. Kumbe alishakuwa DC! Ni CCM kumbe, and if that is the case kama kawaida ya CCM amewaonea watu wengi! tangulia kwenye hukumu ya haki! Huko kila mmoja atabeba mzigo wake bila Jiwe!
Wewe huna tofauti na mnyama wa porini.
 
Back
Top Bottom