FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Sabaya na Mmanda wapi na wapi? Mkuu mbona unapoteza umakini..Yes! Kawaida ni kama sheria. Kuwa katika serikali hii lazima uwe na uwezo wa kuonea watu/kutotenda haki, ndiyo sifa kuu!
DC amcharaza makofi katibu wa Ccm Arusha,aangua kilio kama mtoto - JamiiForums
Acha kuchafua watu usiowajua vizuri, huyo Sabaya umejua tabia zake mbovu sababu amekuwa akizifanya na zikionekana. Mmanda hajawahi kuleta taharuki yeyote na wananchi wa Mtwara ingawa mbunge wao Mtwara Mjini ni wa Upinzani..