TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita, Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia

Mkuu covid -19 ni homa na wengi walio hatarini ni ambao wapo na magonjwa kama kisukari na mengine makubwa kubwa,so covid ndio inakuwa sababu ya kifo kwa maana ya kuwa ndio inakuwa inapelekea kifo baada ya mgonjwa kuwa na magonjwa mengine.
 
Corona anaenda kwa minyato kula kichwa Chato, safiii sana hii. Tutapumua kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…