Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro, ameielekeza Mamlaka ya Maji Shinyanga (SHUWASA) kushusha mara moja bei za maji

Mpk wakuu wa wilaya nao wanatoa matamko hizi teuzi mama aziangalie kwa jicho la tatu..!!
Anyway bro mtatiro uwe unampa kazi kaka Luka akupambe hii ya kuja mwenyewe front unajichoresha 🤣🤣🤣🤣
Luka mpaka akukubali kwanza

Utasikia Mtatiro awatoa machozi ya furaha wanashinyanga
Huku wakibubujikwa na machozi walijotekeza kwa wingi 😄😄😄😄
 
Uzalishaji wa maji na kuyatibu unatofautiana sehemu moja na nyingine.

Hapo gharama za uendeshaji lazima zitofautiane, ndipo inaibuka bei tofauti.

Hata mafuta yanatofautiana bei kati ya mkoa na mkoa


Bei ya maji nchi nzima lazima iwe moja, issue ya gharama ya treatment na uzalishaji kutofautiana sio sbb hata kidogo..

Alafu una compare eti bei za mafuta na maji ku back up pointless yako ya utofauti wa bei? Hivi can you do such a comparison kweli? Ya maji na mafuta why their cap prices differ from one place to another?
 
duuuh kwahyo hataki kabsaa serikali ipate mapato??
 

Hivi Mtatiro una IDs ngapi humu?
 
Luka mpaka akukubali kwanza

Utasikia Mtatiro awatoa machozi ya furaha wanashinyanga
Huku wakibubujikwa na machozi walijotekeza kwa wingi 😄😄😄😄
😂😂😂😂 kaka Luka kikubwa uzingatie kuweka mafuta kwenye namba yake ya simu, atakusifia asubuhi, mchana na usiku
 
Na hapa wanatuuzia maji yaliyochanganywa na maji ya tope.
Watumiaji wa maji ya ziwa Victoria sehemu nyingine zote wanafaidi shy tunatumia maji yana harufu ya vyura
 
Hongera kwake,

Unit Moja Kwa 2500 ni kubwa mno, matumizi ya familia Moja hutumia Si chini ya unit 10 ambayo ni 20,000 Kwa mwezi.

Hata Hilo punguzo Bado, Inatakiwa unit 1 angalau iwe 1,300/=
Unit 1 kwa Shs 2,500 maana yake ndoo moja ya Lita 20 ni sawa na Shs 50, fedha hizi zinatumika kulipia umeme, kununua madawa ya kutibu maji, kulipia mishahara ya watumishi, kufanya matengenezo ya miundombinu ya maji pale inapoharibika, kufanya upanuzi wa miundombinu ya maji kwa wateja wapya. Je unaona hela hiyo inatosha? Lakini nikuulize, wewe kwa siku unakunywa Lita ngapi za maji ya kununua kwenye chupa? Mbona unaponunua maji ya chupa ya Lita 1.5 kwa sh 1000 au 1500 haulalamiki? Nafikiri kabla ya kuandika tujitafakari au tuulize kwanza tuelewe.
 

Maji ya chupa ya 500 ml kuuzwa 1000 Kwa Lita hiyo SI hoja.

1. Nikikuuliza kwanini maji unayodai mnayagharimia kuyatibu kwanini hayana ubora wa kunyweka kama maji salama ya kunywa kama S. Afrika utajibu ?

2. Iweje shinyanga unit 1 iuzwe 2,500 wakati maji hayo hayo Kutoka ziwa hilo Hilo Mza yanauzwa 1200 Kwa unit 1?

Majibu tafadhali 🙏
 
Ingekuwa kila sekta inapiga hesabu kijinga kama hivi nchi isingekalika!
 
Hawajakomaga tu kufanya maamuzi kwenye majukwaa? Nchi hii tuna viongozi wa hovyo hovyo!
 
Uzalishaji wa maji na kuyatibu unatofautiana sehemu moja na nyingine.

Hapo gharama za uendeshaji lazima zitofautiane, ndipo inaibuka bei tofauti.

Hata mafuta yanatofautiana bei kati ya mkoa na mkoa
Ni vyema wakatafuta bei ya wastani. Wa kijijini apunguziwe na wa mjini wa ongezewe ili wote walipe bei sawa.
 
Nchi ya kipuuzi sana hii! Bei tofauti Kila Mahali? Hovyo sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…