Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Jul 14, 2024 #41 Wanasiasa bwana. Wanajipa mavyeo tu ambayo hawajawahi hata kuyafanyia kazi. Sasa kama huyu anajiita wakili wakati hajawahi hata simami kesi ya kutukanana. Wanasiasa wa kiafrika ni mzigo kwa wananchi wao.
Wanasiasa bwana. Wanajipa mavyeo tu ambayo hawajawahi hata kuyafanyia kazi. Sasa kama huyu anajiita wakili wakati hajawahi hata simami kesi ya kutukanana. Wanasiasa wa kiafrika ni mzigo kwa wananchi wao.