Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jambo nani wa kulaumiwaUtulivu wa kijamii kukosekana, sekta hiyo muhimu sana katika miji yenye idadi kubwa ya watu na ni makosa makubwa serikali kuivuruga.
Hili jambo nani wa kulaumiwa
Wataalamu Ndiyo wanatengeneza sera bunge huzijadili na kuzipitisha, labda wataalamu wamesahu kukutengezea sera za kukupa furaha, swali fikirishi je wewe furaha yak ni kuchimba migodi hadharani, yaani watu wakifanya umalaya mtaani kwako, hili swala siyo la mkuu wa wilaya peke yakeSerikali makini hujali utulivu, sana kama inaondoa mazingira hayo watu kuwa vichaa wakitafuta huduma ni serikali ya kulaumiwa. Siku zote serikali hutakiwa kuweka sera za watu kuwa na furaha.
Ahsante kwa taarifa.hakuna chaka litakalo baki.Mkuu wa wilaya apite mbezi mwisho Lubumbashi bar kuna balaa pale
Biashara ya ukahaba ni chanzo kikubwa cha maambukizi ya VVUDC anapaka rangi upepo.
Atoe solution ya hao wenye nyege wapoze wapi?
Majanga ya nchi hii:
Maradhi
Ujinga
Umasikini
Nyege.
Hata weza hiyo ni biashara kongwe ilikuwepo hata kabla yesu hajajaHongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.
Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.
Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024
Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Nisawa na kupiga marufuku kangomba wakati kangomba ni Maisha ya watuHatuungi mkono biashara hiyo, ila hataweza, imekuwepo kwa muda mrefu sana. Itafanywa kwa staili ya siri kama ilivyo siri za faraghani. Kashindwa mkuu wa mkoa ije yeye wa wilaya? Ajaribu labda ataweza
Uzinifu ni nini?Wewee acha kuhalalisha uzinifu