Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.

Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.

Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024

Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.

Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Akitoka huku aende na telegram/badoo/tinder nk.
Hakika hali inatisha
 
Biashara hiyo ndio biashara kongwe Kati ya biashara zote Duniani. Labda atafanikiwa, ngoja tuone!
Hata wizi na ukabaji ni taaluma kongwe duniani, hautaisha ila hatutafumbia macho lazma sheria ichukue mkondo, hatuwezi kutetea uhuni na uhalifu kwa kisingizio cha umasikini au kwa kuwa wahalifu wanawake.
 
Biashara kongwe duniani......
Labda tu TRA ikae nao mezani.
Tangu enzi za Biblia biashara hii ipo. Na hakuna aliyeweza kupambana nayo akafanikiwa maana ni hitaji mojawapo la kibayolojia la binadamu.

Atapambana lakini mwishowe atamwaga manyanga tu. Atakamata kamata wauzaji lakini wateja hawataguswa. Uonevu!

Njia bora ni kukaa na kuongea nao ili wauzaji waseme kinachowasukuma kuingia katika biashara hii maana mpaka wasomi wa vyuo vikuu wamo. Na sidhani kuna hata mmoja kati yao anayeipenda biashara hii.

Akishajua chanzo chake basi ashughulike kutatua changamoto-sababishi. Vinginevyo itakuwa sawa na kukuna vipele vikiwasha huku ukidhani kuwa unatibu tatizo!
 
Tangu enzi za Biblia biashara hii ipo. Na hakuna aliyeweza kupambana nayo akafanikiwa maana ni hitaji mojawapo la kibayolojia la binadamu.

Atapambana lakini mwishowe atamwaga manyanga tu. Atakamata kamata wauzaji lakini wateja hawataguswa. Uonevu!

Njia bora ni kukaa na kuongea nao ili wauzaji waseme kinachowasukuma kuingia katika biashara hii maana mpaka wasomi wa vyuo vikuu wamo. Na sidhani kuna hata mmoja kati yao anayeipenda biashara hii.

Akishajua chanzo chake basi ashughulike kutatua changamoto-sababishi. Vinginevyo itakuwa sawa na kukuna vipele vikiwasha huku ukidhani kuwa unatibu tatizo!
Na ww mnunuzi kaka 😜
 
Na ww mnunuzi kaka 😜
Hapana sis. Miaka 78 nitamnunua nani? Na bahati nzuri tangu ujana wangu sijawahi kununua mbususu japo kipindi fulani masela wa kitaa waliwahi kunikokota kwenda mtaa wa Wahaya hapa Misungwi. Nilipofika na kukuta wateja wamepanga foleni niliogopa mazima na kamwe sijawahi kununua malaya maishani mwangu 🙏🏿
 
Hapana sis. Miaka 78 nitamnunua nani? Na bahati nzuri tangu ujana wangu sijawahi kununua mbususu japo kipindi fulani masela wa kitaa waliwahi kunikokota kwenda mtaa wa Wahaya hapa Misungwi. Nilipofika na kukuta wateja wamepanga foleni niliogopa mazima na kamwe sijawahi kununua malaya maishani mwangu 🙏🏿
Kaka hapa mbona km unavunja amri ya 8 hivi 😜
Miaka 78? Hii ni UONGO 🤣🤣🤣
Halafu mbususu unazonunua ww sio zile za foleni, zako zile zisizokuwa na ”bei elekezi”
 
Kaka hapa mbona km unavunja amri ya 8 hivi 😜
Miaka 78? Hii ni UONGO 🤣🤣🤣
Halafu mbususu unazonunua ww sio zile foleni, zako zile zisizokuwa na bei”bei elekezi”
Kuna bro mmoja humu nishakutana naye. Nampa rukhsa aje akuthibitishie umri wangu. Akisema siyo miaka 78 nidai milioni moja keshi!

Bei elekezi mh! Hapana! Niko loyal sana na huyu bibi yako nimekuwa naye for more than 35 years na sijawahi kutangatanga.

Wajua nini? Hakuna kipya huko nje mbali na magonjwa, ufukara na MIKOSI. Na mbususu ni ile ile tu. Siri kuu ni kumfanya uliyenaye awe mpya kila siku mnapokuwq pamoja. You have to be fascinated with your woman kama vile ndo umekutana naye.

Mama E knows what I am talking about....
 
Back
Top Bottom