James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Baa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachemka dc bar zzinavibali vyoteee huyo katumwa na bar za karibu kuwaaharibiaMkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa
Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
Mkuu, riverside sahivi shikamoo.Riverside sio sana ni wachache lkn balaa huko buguruni na kwingineko uuwi tate nane.
Mkuu unaonekana Riverside unaijuia in and outMkuu, riverside sahivi shikamoo.
Wanaacha kutafuta njia za kupata vyanzo vipya vya mapato, wao wanafungia sehemu za kaz za watu.Mkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa
Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
Yaani. Kuna madada ova wanasubiria daladala. Ila mkikutana macho kwa macho. Ndio utajua kumbe duka linalotembea.Mkuu unaonekana Riverside unaijuia in and out
Hawezi kuzuia ukahaba, atakufa ataauacha, Watu hawajui maana ya ukahaba Ndio maana wanahangaika kushindana na ukahaba, je Samia hajawahi kudanga/kufanya vitendo vya ukahaba kufika alipo?Mkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa
Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
Picha! Acha umbeyaMkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa
Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
Evelyn Salt zinaa zenyewe ndo hii sasa, aliyokuwa anakukataza ni cha mtoto.Thanks babe now come and give me a big hug.
Yani binadamu 😁 hataki zinaa na anataka zinaaEvelyn Salt zinaa zenyewe ndo hii sasa, aliyokuwa anakukataza ni cha mtoto.