Hata DC wa Ubungo ukimwuliza exactly hataki hiyo kitu? Hana jibu.Yani binadamu 😁 hataki zinaa na anataka zinaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata DC wa Ubungo ukimwuliza exactly hataki hiyo kitu? Hana jibu.Yani binadamu 😁 hataki zinaa na anataka zinaa
Hawa wana siasa ndivyowanavyowadanganya wakati wao ndiyo wateja wakubwa wa makahaba? Au kwa kuwa wanatembea na makahaba wanaouza bei ghali na kutaka kuhongwa magari ndiyo mnadhani siyo makahaba? Hawa ma-slayqueen wooote unaowaona kwenye mitandao wanaojiita ni wasanii wengi wao ni makahaba wa wanasiasa. Kamuulize mbunge wa Ulanga.Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.
Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.
Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024
Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Nani aende? Mnapigwa changa la jicho na wanasiasa? Wanasiasa wengi wanaume mbona wana makahaba wasanii?Aende pia Riverside kuna baa inatazama kituo cha daladala zielekeazo Buguruni. Kuna siku nilienda saa nane usiku kama abiria wa bus la Tilisho, sikuamini kilochopo
Tusidharau kila kitu. Kama kuna hatua zinafanyika au hazifanyiki, zitaonekana tu. Jambo la msingi ni kuwa kila mtu afanye lililo ndani ya uwezo wake, mfano, kama unaweza kutoa taarifa, just toa tu utakuwa umetimiza wajibu wako. Usiache kufanya eti kwa kuhofia wengine hawatatimiza wajibu waoNani aende? Mnapigwa changa la jicho na wanasiasa? Wanasiasa wengi wanaume mbona wana makahaba wasanii?
Hiyo biashara ni rahisi sana kuifuta, waboreshe maisha ya watu kwa kushusha bidhaa km umeme, maji na pia watoe ajira za kutoshaBiashara hiyo ndio biashara kongwe Kati ya biashara zote Duniani. Labda atafanikiwa, ngoja tuone!
Wataalamu Ndiyo wanatengeneza sera bunge huzijadili na kuzipitisha, labda wataalamu wamesahu kukutengezea sera za kukupa furaha, swali fikirishi je wewe furaha yak ni kuchimba migodi hadharani, yaani watu wakifanya umalaya mtaani kwako, hili swala siyo la mkuu wa wilaya peke yake
Ni ngumu kuifuta maana hata huko ambako hivyo vitu ni rahisi hiyo biashara ndio ipo kisasa zaidi..Hiyo biashara ni rahisi sana kuifuta, waboreshe maisha ya watu kwa kushusha bidhaa km umeme, maji na pia watoe ajira za kutosha
Una umri gani wewe? Ni mara ya kwanza usanii kama huu kufanyika? Unadhani ku deal na dalili kunaondoa ugonjwa? Tafuta kwanza sababu zinazofanya ukahaba uwepo kwa wingi ushughulike nazo.Tusidharau kila kitu. Kama kuna hatua zinafanyika au hazifanyiki, zitaonekana tu. Jambo la msingi ni kuwa kila mtu afanye lililo ndani ya uwezo wake, mfano, kama unaweza kutoa taarifa, just toa tu utakuwa umetimiza wajibu wako. Usiache kufanya eti kwa kuhofia wengine hawatatimiza wajibu wao
Hilo haliwezi kuwa suluhisholakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Kwa sentnce nyngne yeny maana sawa na hii unasema hii biashara haiwezekan kupotezwa au sioBiashara kongwe duniani......
Labda tu TRA ikae nao mezani.