Biashara IPO mtandaoni, hao anapambana na maskini wasio na smartphoneAhsante kwa taarifa.
tuendelee kufichukua maeneo yote yanayo endesha biashara za ukahaba ili tuwatokomeze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara IPO mtandaoni, hao anapambana na maskini wasio na smartphoneAhsante kwa taarifa.
tuendelee kufichukua maeneo yote yanayo endesha biashara za ukahaba ili tuwatokomeze.
Biashara kongwe duniani......
Labda tu TRA ikae nao mezani.
Ewaaaaa! Msaidieni muheshimiwa kumpa mbinu sababu hajui hata anachokifanya.Sheria no 1 ya hii biashara lazima Uwe na bwana polisi unampa papa buree ikitokea changamoto Kama hii anakuja kukutoa fasta..........
Anatwanga maji kwenye kinu.Ewaaaaa! Msaidieni muheshimiwa kumpa mbinu sababu hajui hata anachokifanya.
Chalamila ameshindwa au ameamua kujiunga nao? "...if you can not defeat them join them"Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.
Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.
Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024
Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
***** [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Thanks babe now come and give me a big hug.
Operesheni bado inaendelea mtaa kwa mtaaa.Namlaani huyo DC.
Wanaacha kushughulikia kero ya maji na barabara huko Ubungo wanahangaika na watu wazima walioamua kutumia viungo vyao kupata pesa na burudani. Qengeh...mbusiiii kabisaWewee acha kuhalalisha uzinifu
Hahaha hahaha GTWanaacha kushughulikia kero ya maji na barabara huko Ubungo wanahangaika na watu wazima walioamua kutumia viungo vyao kupata pesa na burudani. Qengeh...mbusiiii kabisa
Ni biashara kongwe zaidi duniani,Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.
Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.
Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024
Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Apite pia kwenye mitandao yote ya wanaojiuza online awakamate wamiliki wa hiyo mitandao [emoji16][emoji16]Ahsante kwa taarifa.
tuendelee kufichukua maeneo yote yanayo endesha biashara za ukahaba ili tuwatokomeze.
Sisi hatujui huo ni mtazamo wake kaona njia inafaa zaidi lk kafanya jambo sahihiMkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa
Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
Huoni hapo utakuwa unawasaidia kwenye masoko/kujitangaza kwa watejaPicha zimepigwa na tutawaanika hadharani ili jamii iwatambue wanao sambaza virusi vya ukimwi.
Pia wenye nyumba wanao pangisha makahaba kama hawajachukua hatua basi watatangazwa hadharani.