Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

wao wenyewe wameweka video zao telegram wakilawitiwa halafu uje kuwatisha kuwapiga picha wakiwa wamevaa madela uwaweke chanel ten, kiufupi wale washajikataa kitu ya kuitwa aibu, fedheha, haya nk kwao hio kitu haipo
kitu cha msingi wasiache tu kuwapiga pin hivi hivi kila siku wasizagae sana mitaani maana wana inspire wenzao maisha magumu
 
Sheria no 1 ya hii biashara lazima Uwe na bwana polisi unampa papa buree ikitokea changamoto Kama hii anakuja kukutoa fasta..........
 
Huku mtaani kwetu ni BIASHARA ya kawaida sana wapo kwenye Guest Bubu wanalipia chumba wao wenyewe halafu wanaume wanaingia kwa zamu.Wana anzia shilingi Elfu Nne na kuendelea.
 
Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.

Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.

Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024

Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.

Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Chalamila ameshindwa au ameamua kujiunga nao? "...if you can not defeat them join them"
 
Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.

Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.

Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024

Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.

Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Ni biashara kongwe zaidi duniani,
walikuwepo wakaondoka,
ataondoka pia ataiacha,
 
Mkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa

Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
 
I'm
Mkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa mpaka pale zitakapo fuata utaratibu unaotakiwa

Vipi mdau je hii ni njia sahihi ya kupunguza madaguro na madada powa katika maeneo mengi Nchini?
Sisi hatujui huo ni mtazamo wake kaona njia inafaa zaidi lk kafanya jambo sahihi
 
Picha zimepigwa na tutawaanika hadharani ili jamii iwatambue wanao sambaza virusi vya ukimwi.

Pia wenye nyumba wanao pangisha makahaba kama hawajachukua hatua basi watatangazwa hadharani.
Huoni hapo utakuwa unawasaidia kwenye masoko/kujitangaza kwa wateja
 
Back
Top Bottom