Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
PichaUkiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PichaUkiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Hapo utasaidia kuwatangazia biashara yao tu. Hao wadada washajizima data kichwani, hawana aibu wala hawajali mambo ya maadiliPamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Huyo mkuu wa wilaya fala sana. Barabara za mpiji magoe zinasumbua huko ye anahangaika na watu wanautumia miili yao. Hivi Ubungo kuna umalaya kushinda Ilala, Kinondoni?Ahsante kwa taarifa.hakuna chaka litakalo baki.
tuendelee kufichua maeneo yote, iwe ni kwenye mabaa au hata kwenye nyumba za kupanga.
Riverside sio sana ni wachache lkn balaa huko buguruni na kwingineko uuwi tate nane.
Unashauri nini bwana mkubwa?Una umri gani wewe? Ni mara ya kwanza usanii kama huu kufanyika? Unadhani ku deal na dalili kunaondoa ugonjwa? Tafuta kwanza sababu zinazofanya ukahaba uwepo kwa wingi ushughulike nazo.
Weka picha tuoneePicha zimepigwa na tutawaanika hadharani ili jamii iwatambue wanao sambaza virusi vya ukimwi.
Pia wenye nyumba wanao pangisha makahaba kama hawajachukua hatua basi watatangazwa hadharani.
Bora kahaba unatmba kwa kondom na kufuata hatua zote, mkeo unatmba kavukavu bila kujua amenyonya lita ngapi muda ambao hukua naeBiashara ya ukahaba ni chanzo kikubwa cha maambukizi ya VVU
Huyu jamaa anajitafutia ugomvi na wabunge sasa pamoja na viongozi wengine serikalini, shauri yake. Yeye anataka hawa viongozi waende kujivinjali wapi na machangu wao?Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara hiyo.
Tunaomba moto huu usipoe, bado maeneo ni mengi sana, sisi wananchi tutafichua vichaka vyote.
Chanzo ni chanel ten habari sa 1 usiku leo hii tarehe 06/06/2024
Ukiangalia wasichana na wamama walio kamatwa utabaki kinywa wazi.
Pamoja na kuwakamata, dawa pia ni kuvunja madanguro yote lakini pia kuwapiga picha makahaba wote na picha sura zao kisha zionyeshwe kwenye tv na mitandao ya kijamii.
Anacheza na chakula ya wenyewe Waheshimiwa wabunge na viongozi serikalini, we mwache tu.Aende nayo vizuri asije akatokomea yeye
Riverside kwa moto watoto wanatembea na chupi tuu paleMkuu unaonekana Riverside unaijuia in and out
Ili ukamziniThanks babe now come and give me a big hug.
Mfano pale Riverside biashara za bar na vyakula zimeshamiri sabb ya hao wadudu watu wengi wanaingia pande zileTunalalamika idadi ndogo ya watalii wakati fursa za kuvuta watalii ndio hizo.
Uliza Thailand huko watalii ni wengi kwa ajili ya kufuata hiyo biashara.
Badala ya kukimbizana nao hivyo ni bora kuwatengenezea mazingira bora na salama kwao na jamii inayowazunguka...unamkamata au kumkataza bila kumpatia mbadala wa kitu cha kufanya.
Waambie hununui unatumia unaacha hapo hapoRiverside kwa moto watoto wanatembea na chupi tuu pale
Hilo eneo hadi naogopa kusimama muda mwingine maana mtu ukimwambia upo Micassa anajua umeenda kununua 😆
Lazima tutawatokomeza.Hawawezi hao,Walipishwe tu kodi ijulikane moja