Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

Serikali makini hujali utulivu, sana kama inaondoa mazingira hayo watu kuwa vichaa wakitafuta huduma ni serikali ya kulaumiwa. Siku zote serikali hutakiwa kuweka sera za watu kuwa na furaha.
Wataalamu Ndiyo wanatengeneza sera bunge huzijadili na kuzipitisha, labda wataalamu wamesahu kukutengezea sera za kukupa furaha, swali fikirishi je wewe furaha yak ni kuchimba migodi hadharani, yaani watu wakifanya umalaya mtaani kwako, hili swala siyo la mkuu wa wilaya peke yake
 
Hata weza hiyo ni biashara kongwe ilikuwepo hata kabla yesu hajaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…