Mkwara tu, Biden abadili gia angani, Mbona wanapigika?

Mkwara tu, Biden abadili gia angani, Mbona wanapigika?

Iran haiwez ingilia hii vita na ikiingilia ndo mwisho wake
ngoja ajitie wazimu aone kifinyo atakachopata mpaka ma ayatollah watapoteana na huo utakuwa mwisho wao wa kutawala tangu 1979. Bora waufyate mkia kuepusha shari
 
Ni vizuri na hekima kuipiganisha vita Iran na taifa lolote jirani yake kwa nyakati hizi, lakini sio Israel, apigane na Iraq N. K, ili kumpima uwezo wake anaelekea kuwa tishio huyu kobazi kwa usalama wa Israel yapasa adhibitiwe!, lakini pia kabla ya yote kuongea kwanza na nextofkin political party.
 
Hahaha mimi sisimamii haki yoyote, mi nataka mwenye hasira,uchungu, sijui maumivu naye akajitose apigane na huyo anayetaka kupigana naye. Wameamua wenyewe kutwangana nyie mnatafuta nafasi kwa mola ya nini.
Russia wachokozi, na Hamas(Palestina) wachokozi, mkiwa vitani maumivu hayaendi kwa mchokozi au mchokozwa peke yake. Wote mtapoteza na kuumia vile vile.
Kulikuwa na njia nyingine za kusuluhisha migogoro lakini wao waliamua kutumia vita, sasa huruma za nini?
Huku nawapongeza Israel kama ninavyowapongeza Ukraine, haya mataifa mawili yana jitetea. Ila Hama na Russia shauri yao.

Umesema vyema ndugu. Kwamba wewe ni shabiki kama wa Simba au Yanga. Kwako maisha ya thamani ni kwako tu, si ya mpalestina, mwisraeli au awaye yote. Ya kuwa wewe ni mkaanga mbuyu tu, na kuwa kwa hilo unajivuna.

Uzi huu unakuhusu mkuu:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Huyu ndugu alikuangazia vyema:

 
Pole mtapigwa sana na mnaendelea pigwa na uislamu wenu
Naona unatafsiri hii vita hii kama ya Wakristo na Waislamu
Kwa taarifa tu; Waisrael ambao ni WAISLAM ni kama 20% na Waisrael ambao ni WAKRISTO ni kama 2%
Walio baki ni Jewish ambao hata hawamtambui/hawamkubali Yesu
 
Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.

Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.

Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.

Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?

Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?

Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.
Katika mtu ambaye Israel anamtamani ni Iran ndiye sponsor wa magaidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.

Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.

Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.

Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?

Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?

Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.
Mkwara gani acha unafiki

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Umesema vyema ndugu. Kwamba wewe ni shabiki kama wa Simba au Yanga. Kwako maisha ya thamani ni kwako tu, si ya mpalestina, mwisraeli au awaye yote. Ya kuwa wewe ni mkaanga mbuyu tu, na kuwa kwa hilo unajivuna.

Uzi huu unakuhusu mkuu:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Huyu ndugu alikuangazia vyema:

View attachment 2786136
Kwani kukataa upande ni dhambi? sitaki kumuonea huruma HAMAS, hawa ni wapalestina, tena wanaongoza asilimia nyingi ya uwakilishi kuliko chama cha Fatah, na PLO. Siwatenganishi na Wapalestina kwasababu ni vigumu kumjua Hamas nani, Fatah, au PLO hasa wakati huu.
Waliichokoza Israel wacha wapigwe tu na ujinga wao. Sasa wewe unataka mimi nianze kuwahurumia SITAKI. Wafe tu nami siku yangu nitakufa. Unavyodhani wewe kwamba ningewaonea huruma wapalestina ndio ningekuwa na mchango kwa Taifa langu?
Hunifahamu, sikufahamu. Mchango wangu kwa familia yangu unatosha, ingawa mchango wangu kwa taifa langu ni mkubwa sana. Huyo Dr.Ngwale kuli pembeni ya Magufuli, angekueleza vizuri mchango wangu kwa taifa hili. Usidhani tunaandika hapa hatujielewi.
 
Kwani kukataa upande ni dhambi? sitaki kumuonea huruma HAMAS, hawa ni wapalestina, tena wanaongoza asilimia nyingi ya uwakilishi kuliko chama cha Fatah, na PLO. Siwatenganishi na Wapalestina kwasababu ni vigumu kumjua Hamas nani, Fatah, au PLO hasa wakati huu.
Waliichokoza Israel wacha wapigwe tu na ujinga wao. Sasa wewe unataka mimi nianze kuwahurumia SITAKI. Wafe tu nami siku yangu nitakufa. Unavyodhani wewe kwamba ningewaonea huruma wapalestina ndio ningekuwa na mchango kwa Taifa langu?
Hunifahamu, sikufahamu. Mchango wangu kwa familia yangu unatosha, ingawa mchango wangu kwa taifa langu ni mkubwa sana. Huyo Dr.Ngwale kuli pembeni ya Magufuli, angekueleza vizuri mchango wangu kwa taifa hili. Usidhani tunaandika hapa hatujielewi.

Mchokozi ni mwizi mlowezi mwisraeli:

IMG_1567.jpg


IMG_20231015_072729.jpg


Kulikoni makasiriko ndugu?

Nani amehitaji kukufahamu?

Hoja haipingwi kwa rungu!

Dr. au Prof. Ngware ana husika vipi hapa? Familia nazo?

Hayo si ndiyo yale mambo yetu ya kuishiwa na hoja kujaza hapo makasiriko?

Kazi kweli kweli.

imhotep nduguyo huyo:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Kadi ya kijani kwake tafahali.
 
Nimekusoma mkuu. Miye naliangalia tokea mlengo was haki. Ngoja tuone tuombeane uzima na vita hii iishe. Wameshakufa watu wengi mno.
kweli kaka kihaki kabisa Palestines wana haki ya kuwa Nchi Kamili. na huu mgogoro ili uishe ni mpaka hawa wakubwa wanaofaidika na hii migogoro waamue kuumaliza.. Mgogoro wa Israel na wapalestine DUnia haijaamua umalizikie ( nikisema Dunia namaanisha wakubwa wanaendesha Dunia ( sio sie tunaopiga kelelel za haki na kuandamana maana hawatusikilizi)

inaumiza sana Mtu uko kwenye Ardhi huwez plan Feture maana huna hakika wewe na kizaz chako kama hata hiyo feture ipo ( ni rahsh sana kuzitengeneza Nchi mbil.. mbona imewezekana Sudan kusini.. angalia Gambia raman ilivyo ni kanchi kadogo sana.. kamebanwa katikati.. angali. so ishe sio Ardhi

Jodarn kiasili ni wapalestina.. maana Enzi hizo za Ukoloni kabla hawjaagawana Jodarn na Palestine wote walikuwa ni Majimbo ya Ottoman Empire.. na hata waingereza wlaipochukua baada ya Ottoman kuanguka.. Waarabu wa Saudia waliingia makubaliano ya kukubali KUigawanya Palestina kw awayahudi na palestine bila kuwashirikisha palestine.. yaani mkutano umefanyika kati ya Europe na Nchi za kiarabu ambazo kipindi hicho walikuwa pia makoloni ya Europe wakakkubali kuigawa Palestine ila kwa shart wao wapatiwe Uhuru..


utaona kuwa Huo Mgogoro sio waarabu wala wazungu wanaoatak uishe.. wanataka uwepo kwa maslah yao Binafsi.. misri kawatumia sana Wapalestine kwenye mgogoro wake na Israel.. Iran nae anafanya the same.. syria pia alifanya the same.. Arab league wote hawana nia ya dhati kabisa.. huwez kuwa na nia thabit ya kumsaidia mwenzio kwa kumpa sialaha peke yake.. kwa nini wasiweke shinikizo la kimkakat kuwa palestine iwe nchi kamili na mipaka.. uweo wanao maana wana laverage ya mafuta na mambo mengine.. ila wao msaada wao ni kuwapa palestines mabomu na bunduki.. hawawapi hata vifaru au mandege ya kivita..

na akitokea Kiongoz w apalestine au Wa nchi inngine ya kiarabu mwenye nia ya kweli wanamuua kwa kisingizio ni kibaraka wa Israel
 
Back
Top Bottom