Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Anasubiriwa Iran ajichanganye ajumuishwe kwenye orodha ya magaidi duniani.Iran atamaliza hii vita.
Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Ncha ya upanga wa Iran iko vizuri.
Vipi kuhusu Urusi mnayemtegemea naye wapi?
Hao magaidi wa kiislamu, wanatakiwa wafunzwe adabu.