Mkwara tu, Biden abadili gia angani, Mbona wanapigika?

Mkwara tu, Biden abadili gia angani, Mbona wanapigika?

Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.

Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.

Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.

Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?

Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?

Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.


Ndugu yangu tatizo unaliangalia hili kishabiki aidha kiimani au rangi ya ngozi sababu hupendi walichofanya israel.. hata mie siungi mkono kabisa tena asilimia 1000 wanachofanya israel..

Ila unasahau kuwa tuko kwenye dunia ya kibepari na sheria moja ya kibepari ni unafiki.. yaan ukaribu wangu na ww inategemea nanu faikaje bila kujali tuhashare imani
Au rangi ya ngozi .. hao Iran unaowasema amin nakwambia hata israel aichukue gaza hawatarusha hata baruti..

Sio kwasababu wanaiogopa israel hapana ila wanajua kuwa nguvu yoyote atakayoitumia itamuathiri kiuchumi .. nini maana yake...? maana yake akiathirika kiuchumi ndo amewapa karata dume wapinzan wake maana. Yake watauangusha utawala wake kutokea ndan.. rejea kumbukumbu za sadam, gadafi nanhata Misri sasa hv mataifa yote makubwa ya naliana timing ukijifanya kuingia mazima mgogoro wa j
Rafiki au jiran.. utajikuta unatetereka kiuchumi maana yake utahitaj mda wa kujikusanya.. na hapo adui zako hawakupi mda wataingiza mamluki kwako waanze kupiga spana.. hujakaa sawa watu wako mtaan Wanataka muachie madaraka maana maisha magumu..mara vikundi vy kupinga serikali vinaanza sabotage.. kdg adui zako wanakupiga pin ya kiuchumi kwa Kisingizio Unaua raia wako

Kuja kushtuka washakutoa madarakan kwa kisingizio cha kulinda aman ya Nchi

C unaona Misri algeria kipind kile cha Arab spring.. bashir Syria kaponea sababu aliamua achague kumtumikia mkubwa mmoja (mrusi) wakat marekan yuko na wale waasi

We c unao a vita ya ukraine.. mrusi anajua analiwa timing sio apigwe mabomu hapana ila ana subiriwa aporomoke kiuchumi Watu wagawane urusi.. ndo
Maana hao mabest wake iran na china wanaunga mkono urusi ila hata silaha wanamuuzia.. maana na wao wanauma na kupuliza kote.. na ulaya wanamsapot ukraibe ila wanampigwa mkwala vita asiingize urusi.. kwao hio vita ikiendelea hata 10 yrs ni faida

Hata upande wa ukraine angalia misaada anayopokea inavyotolewa kila Nchi ila baada ya matamko wakikaa pamoja na wanachangia huyu mara huyu mie silaha hakuna anayesema
Anaeingia mazima.. maana wanajua ukishuka umepoteza nafasi yako na wenzio wataanza kukugeuza mtaji.. so usione misri na iran anavyoliendea hili jambo wamejifunza

DUNIA YA MBWA MWITU UKITEGUKA AU UKAVUJA DAMU TUNAWEZA KUKUGEUZA ASUSA
 
hawataki vita isambae, ila wamejiandaa kwa lolote na ikitokea imesambaa, hayo mataifa umetaja wanao uwezo kuimaliza muda mfupi sana. sema washajua madhara yake kiuchumi wa dunia kwasababu iran ni mzalishaji mkubwa wa mafuta na gesi. ila deep in their hearts wanajua kuwa iran wakiamua kumpiga, hana uwezo kwenda muda mrefu atapigwa tu. kipindi kile iran ilishambulia kambi za marekani na marekani akanyamaza kwasababu wanavyosema, kweney sheria za vita marekani ndio alikuwa mchokozi, alimuua yule kamanda wa iran. historia ingewasuta san akwamba wao wamechokoza na wao pia wakaanza mashambulizi baada ya retaliation. ila hata wewe unajua kwamba iran hana ubavu wa kupigana na USA, ISRAEL, UK, FRANCE, GERMANY na EU kiujumla.

hana pumzi hiyo kiuchumi, kisilaha kwa lolote. israel ni nchi ndogo sana, ambayo kupigana gollilar war inakuwa ngumu kwao na costly, hawataki wawe wanafanya mashambulizi Lebanon na Gaza kwa wakati mmoja, ila inahitaji upungufu mkubwa sana wa akili kuamini kwamba Israel anawaogopa Hezbullah au Iran. juzi hezbullah waliporusha kombora, alishambulia lebanon, na alivuka zaidi akapiga hadi syria. asingefanya hivyo kama anaogopa hayo mataifa mengine. time will tell.
Si walipigana 2006? Nani aliomba wakae mezani yaishe? Si israel mwenyewe? Israel anamjua vizuri tu Hizbollah na anajua balaa lake, kuna Video nimeweka huko juu jinsi jamaa walivyoingia na kuteka kambi kisha kupandisha bendera yao na kuondoka.

Hizbollah wana kombora zenye uwezo wa kupiga Eneo lolote la israel, there is a reason kwanini hao jamaa wanaogopwa na west, na umeona mafanikio ya silaha za Iran huko Ukraine.
 
Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.

Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.

Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.

Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?

Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?

Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.
Vita ina mambo mengi, kutamka siyo utendaji inawezekana bado hakujawa na taarifa sahihi kuhusu hamas,sidhani sana kama ni kwa ajili ya matamko ya Iran, vita haipiganwi na kushinda kwa kutaka kuwafurahisha watu,bali kwa mbinu na mipango sahihi ambayo itasaidia kupunguza idadi ya vifo.
 
Hawa Wayahudi ni waongo sana, hakuna cha mateka wala nini. Mtaona sasa watakuja na mkwara kuwa wamewaokoa mateka wote.
Wewe upo wapi?
Aliyeanza kuutangazia ulimwengu kuwa ameua na kuteka waisraeli ilikuwa ni Hamas wenyewe, sasa Israel kusema kuna mateka itakuwaje tena ni habari ya uongo ya kutengenezwa na Israeli?
 
Mashabiki wa kipalestina kwenye hii vita leo hapa wanashabikia na kubeza Israeli kusitisha kwa muda operesheni ya kuivamia gaza kiujumla, lakini siku Israel wakianza hiyo operesheni utawasikia wakilia lia tena kuwa Israel inafanya uvamizi usio wa haki nk.
 
Netanyahu:

"We need determination and patience because victory will take time and there will be difficult times."

"We want support from the home front, and there must be unity behind our soldiers."

"I say to Iran and Hezbollah, beware." he added.

Iran na Hezbollah hawahitaji kutahadhalishwa kujua. Hilo wanalijua na hawatakuwa watazamaji.

Twende kazi!
 
Mashabiki wa kipalestina kwenye hii vita leo hapa wanashabikia na kubeza Israeli kusitisha kwa muda operesheni ya kuivamia gaza kiujumla, lakini siku Israel wakianza hiyo operesheni utawasikia wakilia lia tena kuwa Israel inafanya uvamizi usio wa haki nk.
Cry more
 
Vita ina mambo mengi, kutamka siyo utendaji inawezekana bado hakujawa na taarifa sahihi kuhusu hamas,sidhani sana kama ni kwa ajili ya matamko ya Iran, vita haipiganwi na kushinda kwa kutaka kuwafurahisha watu,bali kwa mbinu na mipango sahihi ambayo itasaidia kupunguza idadi ya vifo.

Kutofungamanisha hili na Iran itakuwa kutomtendea haki Natenyahu aliyeachia hadi mwanawe was pekee kwenda vitani. Dunia nzima wanaandamane. UN huko wanalaani. Vita gani hiyo ya mjini bIla jeshi unalopigana nalo upande wa pili.

Jahudi kachemsha. Shinikizo la Iran haliwezi kupuuza. Biden yuko njiani kwenda Israel. Kesho if not now movement wana miadi naye White House kesho.


View: https://m.youtube.com/watch?v=CF40w0d4tLQ

Hiki kimenuka.
 
Ndugu yangu tatizo unaliangalia hili kishabiki aidha kiimani au rangi ya ngozi sababu hupendi walichofanya israel.. hata mie siungi mkono kabisa tena asilimia 1000 wanachofanya israel..

Ila unasahau kuwa tuko kwenye dunia ya kibepari na sheria moja ya kibepari ni unafiki.. yaan ukaribu wangu na ww inategemea nanu faikaje bila kujali tuhashare imani
Au rangi ya ngozi .. hao Iran unaowasema amin nakwambia hata israel aichukue gaza hawatarusha hata baruti..

Sio kwasababu wanaiogopa israel hapana ila wanajua kuwa nguvu yoyote atakayoitumia itamuathiri kiuchumi .. nini maana yake...? maana yake akiathirika kiuchumi ndo amewapa karata dume wapinzan wake maana. Yake watauangusha utawala wake kutokea ndan.. rejea kumbukumbu za sadam, gadafi nanhata Misri sasa hv mataifa yote makubwa ya naliana timing ukijifanya kuingia mazima mgogoro wa j
Rafiki au jiran.. utajikuta unatetereka kiuchumi maana yake utahitaj mda wa kujikusanya.. na hapo adui zako hawakupi mda wataingiza mamluki kwako waanze kupiga spana.. hujakaa sawa watu wako mtaan Wanataka muachie madaraka maana maisha magumu..mara vikundi vy kupinga serikali vinaanza sabotage.. kdg adui zako wanakupiga pin ya kiuchumi kwa Kisingizio Unaua raia wako

Kuja kushtuka washakutoa madarakan kwa kisingizio cha kulinda aman ya Nchi

C unaona Misri algeria kipind kile cha Arab spring.. bashir Syria kaponea sababu aliamua achague kumtumikia mkubwa mmoja (mrusi) wakat marekan yuko na wale waasi

We c unao a vita ya ukraine.. mrusi anajua analiwa timing sio apigwe mabomu hapana ila ana subiriwa aporomoke kiuchumi Watu wagawane urusi.. ndo
Maana hao mabest wake iran na china wanaunga mkono urusi ila hata silaha wanamuuzia.. maana na wao wanauma na kupuliza kote.. na ulaya wanamsapot ukraibe ila wanampigwa mkwala vita asiingize urusi.. kwao hio vita ikiendelea hata 10 yrs ni faida

Hata upande wa ukraine angalia misaada anayopokea inavyotolewa kila Nchi ila baada ya matamko wakikaa pamoja na wanachangia huyu mara huyu mie silaha hakuna anayesema
Anaeingia mazima.. maana wanajua ukishuka umepoteza nafasi yako na wenzio wataanza kukugeuza mtaji.. so usione misri na iran anavyoliendea hili jambo wamejifunza

DUNIA YA MBWA MWITU UKITEGUKA AU UKAVUJA DAMU TUNAWEZA KUKUGEUZA ASUSA

Nimekusoma mkuu. Miye naliangalia tokea mlengo wa haki. Ngoja tuone tuombeane uzima na vita hii iishe. Wameshakufa watu wengi mno.
 
Mashabiki wa kipalestina kwenye hii vita leo hapa wanashabikia na kubeza Israeli kusitisha kwa muda operesheni ya kuivamia gaza kiujumla, lakini siku Israel wakianza hiyo operesheni utawasikia wakilia lia tena kuwa Israel inafanya uvamizi usio wa haki nk.

Kwamba Israel ni mvamizi hilo naye asiylijua?

IMG_20231015_072729.jpg


Hilo haliwezi kubadilika hadi atoke kwenye maeneo yote ya wapalestina.
 
Sishabikii vita ninashabikia amani. Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga.

Wewe ndiyo bIla kujua unashabikia vita.
Sawa sawa na ndiyo maana Hamas napiga kwa upanga naye anapigwa kwa upanga.
 
Sawa sawa na ndiyo maana Hamas napiga kwa upanga naye anapigwa kwa upanga.

Hapana upanga wa HAMAS hsutoshi ndiyo maana yahudi.alikuwa akijomwambafy. Sasa wamesikika wenye panga zao. Tayari yeye na bwana wake waki ndembe ndembe!
 
I wish you could know intelligence tactics on war... Pole

Pole? Intelligence au ramli? Ingekuwa intelligence Kuna zaidi ya Mossad? Mossad alikuwa haangalii au ku monitor nini Palestina, tena in real time? Pamoja na kugaragazwa kule nani bado wanathubutu kutamka neno intelligence? Intelligence? Wangeenda kulima tu. Hakuna dili Hapo.
 
Amir Abdollahian Iran's Foriegn Minister:

The time for political solutions is running out. And the possible expansion of the war in other fronts is approaching the inevitable stage

Na huo ndiyo ulio ukweli ..
 
Amir Abdollahian Iran's Foriegn Minister:

The time for political solutions is running out. And the possible expansion of the war in other fronts is approaching the inevitable stage
Huyu muajiemi yupo mstari wa mbele kuitetea Palestine, waarabu wapo wapi kuwasemea ndugu zao Wapalestina?....au walishabadili msimamo ?
 
Back
Top Bottom