Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Marekani amejiunga na Hamas kupigana na Israel?Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.
Yaani ww kumpa israel win sawa sawa na kumpa win manchester utd sasa hv wamebaki jina tu hata mkiwa na forward butu maguire atawapa goalIsrael keshanichania mkeka nilimpa win & over 4.5.
Uliwahi hata kuandamana hapa?? wewe ni mweupe kichwani endelea kuotaIran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.
Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.
Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.
Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?
Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?
Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.
Mngepigana na Israel bila kuingiza uislam huko kote tayari mngeshashinda saiz mngekuwa mnalawitiana Tel Aviv ujue, but tatizo mnaunganisha vita na uislam hapo ndo tatizo bibi, najiuliza mnapigania ardhi au msikiti? bt nashindwa kuwaelewa bado mtaendelea kupoteza hata hii mnapoteza na Israel inaweza kujimilikisa GazaMbona umeuingiza Uislam?
Uislam ni mwema sana kijana.
Wewe hujui kitu uliza uwezo wa Iran kivita wale hawawategemei ndugu kupata silaha wanatengeza wenyewe.Iran haiwez ingilia hii vita na ikiingilia ndo mwisho wake
MUNGU ni fundi sana. Imagine mtu mwenye saikolojia kama hii awe kiongozi wa taifa kubwa na mtu mwenye maamuzi.Kumbe imekuwa je sasa si aendelee kumpiga kwa sababu atasema unamwogopa na kumbe humwogopi?
Kulikoni kughairi baada tu ya Iran kukomaa?
wanazunguka tu ili mateka waachiwe. hizo story zako zitabadilika kabisa mateka wakiachiwa.Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.
Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.
Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.
Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?
Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?
Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.
Ukinipiga unanionea ukiniacha uniniogopa.hii imepelekea watu 2700 kuuwawa na wengine 1000 kuwa katika rubble(hamas na wafuasi wake)
Kwahiyo ulitaka vita iendelee kuwa kubwa? Halafu ungefaidika nini? Wewe hauko uwanja wa vita acha kushabikia maumivu usiyoyajua. Zile safari za waziri wa marekani ilikua ni kutafuta suluhu. Wangekua na akili mbili kama zako wangekaa ili wafanye unavyowaza.Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji.
Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka kwenda Gaza. Kisha wote wajipange upya. Yasije yakawa makubwa, maana madogo yana nafuu.
Kwamba Blinken aliyekuwa kadai wataiunga Israel kwa lolote, inabidi Sasa kuyameza matapishi yake.
Hali ya uwanja imebadilika, gia lazima kubadilika. Nani anataka kufa?
Kwa hakika hii ni kwa mkwara tu wa Iran sembuse ingekuwa makombora mawili matatu ya maana? Mbona manduli hawa wanapigika? Mbona mwisho wa uvamizi wa Israel ulikuwa uwe huu?
Waarabu kwa ujinga wao kutotambua uwezo mkubwa wa nguvu ya idadi ya watu wao, ni tatizo kubwa zaidi kuliko la Israel kwa uvamizi.
Hizbollah wameshapigana na Israel 2006 na hata sasa hivi wanarushiana Makombora na Israel.Iran haiwez ingilia hii vita na ikiingilia ndo mwisho wake
wanazunguka tu ili mateka waachiwe. hizo story zako zitabadilika kabisa mateka wakiachiwa.
Upo sahihi.Mngepigana na Israel bila kuingiza uislam huko kote tayari mngeshashinda saiz mngekuwa mnalawitiana Tel Aviv ujue, but tatizo mnaunganisha vita na uislam hapo ndo tatizo bibi, najiuliza mnapigania ardhi au msikiti? bt nashindwa kuwaelewa bado mtaendelea kupoteza hata hii mnapoteza na Israel inaweza kujimilikisa Gaza
Hao mateka ndio ngao yao, human shields, watatangulizwa mbele pale Gazawanazunguka tu ili mateka waachiwe. hizo story zako zitabadilika kabisa mateka wakiachiwa.
mimi niumie kwani ni myahudi? vita ipiganwe uyahudi mimi niumie?Yaonekana umeumia ndugu baada ya gia kubadilika. Mtamwliza bucha zote lakini nyama ni Ile Ile.
Si tuliambiwa kibani ni Hadi mateka waachiewe na HAMAS wafutwe usoni pa dunia?
Kumbe busara mpya imetoka wapi?
Hakuna mateka wala nini, ni uongo wa Myahudi ili apate kuuwa Wapalestina.Hao mateka ndio ngao yao, human shields, watatangulizwa mbele pale Gaza
Uislamu na maovu yote ni kucha na kidoleMbona umeuingiza Uislam?
Uislam ni mwema sana kijana.