Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Hey habarini nyote,
Nimesikitika na kutema mate na kusonya sana utoto wa hatua ya police kuhusu maandamano ya amani na yenye nia njema kufikisha ujumbe wa kupinga mkataba mbovu na wa kitumwa na usiofaa popote Duniani kote.
Ni zumbukuku na mazumbukoko tu ndio wanaweza kua na akili za kengeza kutoona ukichaa ndani ya huo mkataba.
Nawaonya police tuko makini wachunge ulimi
Shukrani.
Nimesikitika na kutema mate na kusonya sana utoto wa hatua ya police kuhusu maandamano ya amani na yenye nia njema kufikisha ujumbe wa kupinga mkataba mbovu na wa kitumwa na usiofaa popote Duniani kote.
Ni zumbukuku na mazumbukoko tu ndio wanaweza kua na akili za kengeza kutoona ukichaa ndani ya huo mkataba.
Nawaonya police tuko makini wachunge ulimi
Shukrani.