Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Seifu anakataa mkono wa Dr Shein mlifurahi mkasema ni Jambo zuri, Hamkujua ile inaongeza mpasuko. Leo yanatokea haya mnasema shein anaroho mbaya. Mungu anasema Patana kwanza na Nduguyo alafu peleka maombi yako. Kwa hali ilivyo ata muombe vip, mabaya ningumu kumkuta shein kwakua Seifu alikataa kupokea mkono wa Amani Labda mtumie mitishamba.
Zanzibar ni nchi au sio nchi??Stahiki za Maalim Seif zimeainishwa kwenye vitabu vya sheria za nchi ya Zanzibar. Na kamwe halipwi kwa hiyari ya Magufuli au Dr. Shein, ni pesa za kodi ya wazanzibar.
Ungempigia kwanza ndio uje hapa kulikuwa na maana gani kutuambia una # yake?Kwakuwa Nina # ya seif Acha ninpigie
baadae Shein na serekali yake wakiambiwa walipe fidia ya mabilioni watamlaumu nani?
Shein hana roho mbaya.anafundishwa roho mbaya.Wakati Seifu anakataa mkono wa Dr Shein mlifurahi mkasema ni Jambo zuri, Hamkujua ile inaongeza mpasuko. Leo yanatokea haya mnasema shein anaroho mbaya. Mungu anasema Patana kwanza na Nduguyo alafu peleka maombi yako. Kwa hali ilivyo ata muombe vip, mabaya ningumu kumkuta shein kwakua Seifu alikataa kupokea mkono wa Amani Labda mtumie mitishamba.
Na yeye yatafutwa tu kupitia TVZ.CUF wanatafutage mtu mwingine Wa kugombea 2020 huyu Sera zake mbovu !! haiwezekani Mara zote tano unashindwa halafu bado unang'angania tu!! INA maana ndani ya cuf kuna mtu mmoja tu!!
Alivyokuwa anawatukana wakubwa alidhani mchezo magufuli siyo wa kuchezewa hata chembe atakaa tu.Huu ni unyanyasaji. Na Karume anyimwe pia
Hivi kinachomnyima posho ni sheria au nini?! Ngoja nisome hilo gazeti maanake unaweza kukuta kichwa na habari ni vitu viwili tofauti.
Alivyokuwa anawatukana wakubwa alidhani mchezo magufuli siyo wa kuchezewa hata chembe atakaa tu.
This is not fair,Mungu anawaona!Seif kumchunia Shein sio jambo la ajabu coz watu hawa wana tatizo kubwa,badala ya kutafuta suluhu kama alivyofanya JK unaongeza mpasuko alafu unasubiri Zanzibar