Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani posho ni stahiki?This is not fair,Mungu anawaona!Seif kumchunia Shein sio jambo la ajabu coz watu hawa wana tatizo kubwa,badala ya kutafuta suluhu kama alivyofanya JK unaongeza mpasuko alafu unasubiri Zanzibar
Mbona Magufuli mwenyewe anakiplastic kwenye Moyo ana uzima gani asimtanie Mungu haya ni maisha tu leo kwa Seif kesho kwake madikteta wote duniani wamekufa kwa aibu kubwaAlivyokuwa anawatukana wakubwa alidhani mchezo magufuli siyo wa kuchezewa hata chembe atakaa tu.
Duh Serikali Ya Viwanda Mpaka Kwenye Stahiri Za Watu!
Asanteeeee! Umeua mkuu! Na kwa nyongeza tu ni kwamba "Common sense is not common to everybody"Uungwana na ustaarabu nizawadi toka kwa Mungu,sikilamtu amejaaliwa!
Loyalty Is a very expensive gift dont expect it from cheap people!!!
Weak people revenge,strong people forgive,intelligent people ignores!!!
Ukiwa kiongozi inafaa kupitia misemo ya wenye busara Kama hii na kujifunza humo...
Wewe una uhakika gani kanyimwa?Hilo gazeti ndio taarifa ya ikulu? Inawezekana malipo yako kwenye "mchakato" yeye anataka papo kwa papo....awe na subra atapata inshaallah.Huu ni unyanyasaji. Na Karume anyimwe pia
Nasema HV wote mlioichagua ccm moto unawasubiri Siku ya kiama.
Somalia na Korea kasikaziniTunaiga utawala wa chi gani?[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Nashindwa kuelezea ila mungu yupo.na dhuluma INA mwisho wake haki ya mungu vilee nakuapia.Duh mbona umekuwa muhukumu mjingamimi?
Sio mbali hivyo .wameshaanza kuusogelea wakizani ni moto wakuotea baridi taratibu wanazidi kuusogeleaNasema HV wote mlioichagua ccm moto unawasubiri Siku ya kiama.
Nashindwa kuelezea ila mungu yupo.na dhuluma INA mwisho wake haki ya mungu vilee nakuapia.