Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Magufuli mwenyewe anakiplastic kwenye Moyo ana uzima gani asimtanie Mungu haya ni maisha tu leo kwa Seif kesho kwake madikteta wote duniani wamekufa kwa aibu kubwa
Mbeya tunajiendesha serikali haijawahi kuweka mipango mikubwa yeyote ya maendeleo lakini tupo na tunaishi na maisha wetu wachapa kazi namba one nchi hii tunalisha nchina wale waliomzomea Makufuli Mbeya nadhani nao wanyimwe maendeleo kwa msingi huu..
maana kumzomea mtu ni zaidi ya kumnyima mkono..
kwa hiyo si vibaya tuelekee mbeya tukawatumbukize hata kisimani wale raia..
wanywe maji weeeeee !!
ndio wako sawa na magufuli hamna tofautiHivi kweli mnaujua udikiteta kweli? Au mnakariri
Angalia Cuba,Korea kaskazini,Saudi Arabia,Singerpore,Laos Na nchi nyingi duniani
Tafadhali Google hizo nchi Halafu utajua
Shein hana roho mbaya.anafundishwa roho mbaya.
Mbona Magufuli mwenyewe anakiplastic kwenye Moyo ana uzima gani asimtanie Mungu haya ni maisha tu leo kwa Seif kesho kwake madikteta wote duniani wamekufa kwa aibu kubwa
Kwa mujibu wa RAIA TANZANIA
View attachment 403311
Hatimaye itafika mahali ataenda kutibiwa kienyeji asipotumia teknik ya Lowassa ya kumuunga mkono JPM kila mara.Kwa mujibu wa RAIA TANZANIA
View attachment 403311
Ushahidi wa udikteta unazidi kukusanywa siku flan akienda Ulaya na Marekani ndo atawafahamu vizuri waandishi wa kimataifa ,