Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

Mgombea wa 'ATC' 2020 mbona "ametunza profile ndogo", kwa nini? AU anasubiri goli la Morocco la dakika ya 89?
 
Naona umeanza tena ule ujinga wako, unasoma upepo then unajidai una inside information, kisha unatunga maneno yako ili kuwadanganya wajinga, ndio maana huwa nakudharau, unajitengenezea heshima kisha unaiharibu mwenyewe.

How many times umetudanganya una inside information kisha matokeo yakawa kinyume na ulichosema?

#idiot
 
Naona umeanza tena ule ujinga wako, unasoma upepo then unajidai una inside information, kisha unatunga maneno yako ili kuwadanganya wajinga, ndio maana huwa nakudharau, unajitengenezea heshima kisha unaiharibu mwenyewe.

#idiot
Vipi Covid mmewaondoa Bungeni?
 
Na kinachonisikitisha kuna vijana wenzetu wa chadema "eti" wanataka apewe awamu nyingine ya uongozi??. Toka nikipomsikiliza aseme et anataendelea maridhiano na CCM nikaona huyo jamaa ni bwege na hana maana kabisa!!.

Unawezaje kukaa meza ya malidhiano kuomba mikutano iliyopo kikatiba?, Hana la maana na huko anakozunguka anafanya upuuzi Hana la maana.
 
Naona unajidlfanya kucheza mind game, lakini kama ni Mbowe ndio anatumika kwenye hilo, basi watu tumeshamstukia na kumpotezea. Ni muda mfupi tutaanza kumkana hadharani. Kama mliamini anasikilizwa kiasi cha kuagiza chochote mmeliwa. Alifanikiwa kumpa Lowassa nafasi ya kugombea urais, ila kosa lile halitakaa lirudiwe.
Huyo jamaa sio nwenzetu tena, hana nia ya kusaidia watu zaidi ya kutuhadaa tu.
 
Vipi Covid mmewaondoa Bungeni?
Wacha hizi ramli zako bana, am above this shit of yourz man.

Covid kuondolewa bungeni hilo sio jukumu la Chadema, Chadema walishamaliza kazi yao kwa kuwatimua chamani, na barua akapelekewa spika wa bunge, hilo swali lako mpelekee Tulia.
 
Ila wewe huwa humpendi Mbowe aisee. Yaani propaganda kidogo ya mlumumba umeshaingia King.

Sitakagi viongozi wanaokaa madarakani mrefu. Sijawahi kuwa muumini wa hivyo, na wala sintokaa niwe muumini wa hilo. Toka Mbowe ampokee Lowassa na kumpa nafasi nyeti ya kugombea urais, pale nilimtoa maanani. Hili halihitaji propaganda ya Mlumumba au mchamwino boss. Akae pembeni aachie wengine tuendelee kwa kasi tofauti, sio hiyo ya kujinyenyekeza kwa majizi ya kura.
 
 
Back
Top Bottom