Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca
Porojo tupu......un grounded statements
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca
Ccm mna laana, hizo mbinu zenu zina mwisho mbaya na anguko lenu litakuwa kubwa mno.... upinzani ni zaidi ya Mbowe.
JokaKuu zitto junior Allen Kilewella
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca
😁
 
Why unapotosha?!Sasa Mbowe akiwa TISS why asipewe ubunge wa bwerere au kwanini Chadema isife all those days? If at all ni government asset na wanaweza order akivunje.

Msipende kuikuza TISS Haina akili kiasi hiki ndio maana walishindwa kuiba kura kijanja Hadi ikabidi wapore masanduku wazi wazi.

Kama wangekua intelligent ufisadi ungekua unatokea Kila kona?! Hayo mafisadi ya CCM ndio mengi yamejazwa TISS unategemea yana uzalendo au akili hizo?
 
Hawajui,yaani tunachezeshwa tu tangu lyatonga 1995 mpaka kesho
Idara ipi hiyo? Unadhani Wana akili kiasi hiko? Kama Membe alikua Mkurugenzi wa TISS ndio hata kampeni zilimshinda na akapotezwa kabisa na Lissu wtf is idara?

Chadema haiamuliwi mambo na Mbowe, Kuna kamati kuu au kwa akili Yako ulidhani Mbowe ndio alitaka Lissu agombee? Au alikubali Mnyika awe Katibu? Ni baada ya kamati kuu kumkaanga ujio wa Lowassa na Ukatibu wa Mashinji!!

Chama Cha siasa sio kanisa kwamba wote ni followers tu hamna Cha kuhoji. That is not Chadema, kama Lema na Lissu wote wanamkosoa Mbowe hadharani usidhani ndio alpha na omega akikengeuka tu atafurumushwa kama Mbatia NCCR.
 
Sitakagi viongozi wanaokaa madarakani mrefu. Sijawahi kuwa muumini wa hivyo, na wala sintokaa niwe muumini wa hilo. Toka Mbowe ampokee Lowassa na kumpa nafasi nyeti ya kugombea urais, pale nilimtoa maanani. Hili halihitaji propaganda ya Mlumumba au mchamwino boss. Akae pembeni aachie wengine tuendelee kwa kasi tofauti, sio hiyo ya kujinyenyekeza kwa majizi ya kura.
Naheshimu maoni yako ila Kwa candidacy ya JPM 2015 anything short of Lowassa upinzani ungezikwa rasmi bila hata kura kuibwa. Sidhani tungepata wabunge 120+ imagine CUF walipata wabunge zaidi ya 40!!

As much as ilikua a moral mistake ila politically it was the right decision. Sidhani kama Dr Slaa angeweza mount a serious challenge kama Ile. Na kama tume ingekua huru tungekua tunaongea mengine kwa Sasa
 
Idara ipi hiyo? Unadhani Wana akili kiasi hiko? Kama Membe alikua Mkurugenzi wa TISS ndio hata kampeni zilimshinda na akapotezwa kabisa na Lissu wtf is idara?

Chadema haiamuliwi mambo na Mbowe, Kuna kamati kuu au kwa akili Yako ulidhani Mbowe ndio alitaka Lissu agombee? Au alikubali Mnyika awe Katibu? Ni baada ya kamati kuu kumkaanga ujio wa Lowassa na Ukatibu wa Mashinji!!

Chama Cha siasa sio kanisa kwamba wote ni followers tu hamna Cha kuhoji. That is not Chadema, kama Lema na Lissu wote wanamkosoa Mbowe hadharani usidhani ndio alpha na omega akikengeuka tu atafurumushwa kama Mbatia NCCR.
Mbowe kuwa TISS hakuondoi haki yake ya kuwa cdm,, mbona slaa nae alikua upinzani, au mrema,, au mary sarungi?
 
Idara ipi hiyo? Unadhani Wana akili kiasi hiko? Kama Membe alikua Mkurugenzi wa TISS ndio hata kampeni zilimshinda na akapotezwa kabisa na Lissu wtf is idara?

Chadema haiamuliwi mambo na Mbowe, Kuna kamati kuu au kwa akili Yako ulidhani Mbowe ndio alitaka Lissu agombee? Au alikubali Mnyika awe Katibu? Ni baada ya kamati kuu kumkaanga ujio wa Lowassa na Ukatibu wa Mashinji!!

Chama Cha siasa sio kanisa kwamba wote ni followers tu hamna Cha kuhoji. That is not Chadema, kama Lema na Lissu wote wanamkosoa Mbowe hadharani usidhani ndio alpha na omega akikengeuka tu atafurumushwa kama Mbatia NCCR.
Mbona tulipokuwa tunawambia kuchemka kwenu juu ya ujio wa Lowasa na Mashinji hao wanakamati kuu ndio walikuwa wa kwanza kutoa mapovu?

Nitajie mwanakamati kuu ambae hakuridhia ujio wa Lowasa na kuteuliwa kwa Mashinji?
 
Idara ipi hiyo? Unadhani Wana akili kiasi hiko? Kama Membe alikua Mkurugenzi wa TISS ndio hata kampeni zilimshinda na akapotezwa kabisa na Lissu wtf is idara?

Chadema haiamuliwi mambo na Mbowe, Kuna kamati kuu au kwa akili Yako ulidhani Mbowe ndio alitaka Lissu agombee? Au alikubali Mnyika awe Katibu? Ni baada ya kamati kuu kumkaanga ujio wa Lowassa na Ukatibu wa Mashinji!!

Chama Cha siasa sio kanisa kwamba wote ni followers tu hamna Cha kuhoji. That is not Chadema, kama Lema na Lissu wote wanamkosoa Mbowe hadharani usidhani ndio alpha na omega akikengeuka tu atafurumushwa kama Mbatia NCCR.
Kwa hiyo ujio wa Lowasa na ukatibu wa Mashinji yalikuwa maamuzi binafsi ya Mbowe na si kamati kuu?
 
Why unapotosha?!Sasa Mbowe akiwa TISS why asipewe ubunge wa bwerere au kwanini Chadema isife all those days? If at all ni government asset na wanaweza order akivunje.

Msipende kuikuza TISS Haina akili kiasi hiki ndio maana walishindwa kuiba kura kijanja Hadi ikabidi wapore masanduku wazi wazi.

Kama wangekua intelligent ufisadi ungekua unatokea Kila kona?! Hayo mafisadi ya CCM ndio mengi yamejazwa TISS unategemea yana uzalendo au akili hizo?
Dogo hujui mambo mengi TISS anaweza akapigwa hata Miaka 10 gerezani akifanya kazi fulani , TISS anaweza hata akawa kwenye mazingira magumu msielewe Na ina kuwa credit kwake kutojulikana yaan mazingira yanatengenezwa kiasi Kwamba huwezi kuhisi kitu kila ükijaribu kuwaza haiingii äkilin, ilimradi apate Salary yake Na atunze Kiapo
 
Naheshimu maoni yako ila Kwa candidacy ya JPM 2015 anything short of Lowassa upinzani ungezikwa rasmi bila hata kura kuibwa. Sidhani tungepata wabunge 120+ imagine CUF walipata wabunge zaidi ya 40!!

As much as ilikua a moral mistake ila politically it was the right decision. Sidhani kama Dr Slaa angeweza mount a serious challenge kama Ile. Na kama tume ingekua huru tungekua tunaongea mengine kwa Sasa
Ninyi ni wajinga Wananchi au watu kuipigia kura CHADEMA mwaka 2015 haikuwa sababu Ya Lowassa ilikuwa ni kazi kubwa ilofanywa Na Chadema kwa miaka mingi Na operations kadhaa kwenye nchi! CHADEMA haikuwa imefanya kazi ndogo kama unavyodhani hata Kwenda Kwa Lowassa CDM ilikuwa nafuu Kwa CCM kuliko Angesimama mtu Tofauti ! Tatizo Lowassa aliwahadaa mkadhani ye ndo kasababisha hizo kura ,

Britanicca
 
Back
Top Bottom