Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

Mlete haraka kuliko afungwe atatusaidia kwenye mambo yetu

Why unapotosha?!Sasa Mbowe akiwa TISS why asipewe ubunge wa bwerere au kwanini Chadema isife all those days? If at all ni government asset na wanaweza order akivunje.

Msipende kuikuza TISS Haina akili kiasi hiki ndio maana walishindwa kuiba kura kijanja Hadi ikabidi wapore masanduku wazi wazi.

Kama wangekua intelligent ufisadi ungekua unatokea Kila kona?! Hayo mafisadi ya CCM ndio mengi yamejazwa TISS unategemea yana uzalendo au akili hizo?
Mkuu zitto junior, itakubidi umtafute Mkuu Jasusi atupige tena darasa humu jinsi the operative wanavyo recruit.
Kuna 3 types ya recruitment,
1. Direct recruitment, unakuwa spotted toka uko shuleni, unakuwa channelled wanakutaka wapi, unapelekwa kisha wanakuibukia na kukuibua.
2. Wajibu of duty, kutokana na kuwajibika kwenye nafasi fulani fulani, unajikuta unakuwa recruited as tiss utake usitake, mfano kwenye kila taasisi za fedha, kuna kitengo cha FIU, wale ni ma tiss, hicho kitengo kikibaini dirty money or money laundering, hakiwezi kuripoti direct BOT bali kupitia kwa bank manager, hivyo mameneja wote wa benji zote ni ma tiss kwa mujibu wa majukumu yao, kama walivyo ma meneja wa makampuni yote ya simu ndio wanao ruhusu tapping.
3. Kundi la mwisho ni ma informers, hawa wanakuwa recruited from their normal natural habitat, kama ni malaya, anakuwa recruited na kuendelea na umalaya wake, kama ni jambazi, anakuwa recruited na kuendelea na ujambazi wake!, kama ni siasa anakuwa recruited na kuendelea na kazi zake, ila unakuwa unatumiwa, hivyo unaweza kukuta wote mko pamoja bila kujuana kwasababu informers wanakuwa recruited individuals hadi wauza karanga, ma she shiners hadi mateja. Mabosi wengi ni ma tiss huku ma sectaries wao nao ma tiss huku ma messenger ni ma tiss hadi ma cleaners wale waosha vyoo!.

With naked eyes, you can't tell who is tiss and who is not, lakini sisi tuliojaaliwa macho ya rohoni tukiwaona tuu tiss, tunawajua, mfano mimi kutokana na kuzaliwa kwa baba na Mama wa idara, nimejikuta nimezaliwa with inborn intelligence, nilipaswa niwe tiss, ila basi tuu, lakini hii tiss yetu ya siku hizi imejaa mijitu mijinga na migoigoi ajabu!, hata nilipo wapa tip ya risks ambazo Blaza alikuwa anawindwa, mitisi mijinga haikuweza kum protects!, mwisho wa siku wakamfikia, wakala kichwa!.
Angalia mabandiko haya ya warnings ni ya lini anzia hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? kisha,
Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? kisha Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?. Hawa ma tisi wetu, ma tiss wa ukweli ni wachache, walio wengi ni hakuna kitu ni ma empty shells!. Yaani mpaka leo wameshindwa kuwabaini wasiojulikana!, tumejitolea kuwasaidia, hawa saidiki!. WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.

Hivyo ukilisoma bandiko hili kuhusu ma tisi wa Chadema, utaelewa! CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?

Chadema enzi za Dr. Slaa ilisumbua ndipo ukatafutwa udhaifu wa dr, ukajulikana, ikachukuliwa ndoano ikawekwa pande la mnofu, jamaa si akafakamia kumeza pande lote la mnofu kumbe kazama kwenye ndoana!, akacholopolewa mzima mzima kama kuvua samaki kwa ndoano!.

Baada tuu ya Lowassa kutua Chadema, kuna kitu nilikisema humu, Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! haukupita muda mtu akatangaza kushindia mihogo!, ila kukodi ukumbi wa press conference Serena Hotel na kulipia live ya masaa 3, vituo 4 vya TV!. Kuna kitu nikakisema Ana kwa ana na Dr. Mwakyembe: Awashangaa Waliomuona yeye tu, Lakini wengine hawakuwaona! ukiisha wajua ma tisi!, hawakupi taabu kabisa!.
P
 
Mkuu zitto junior, itakubidi umtafute Mkuu Jasusi atupige tena darasa humu jinsi the operative wanavyo recruit.
Kuna 3 types ya recruitment,
1. Direct recruitment, unakuwa spotted toka uko shuleni, unakuwa channelled wanakutaka wapi, unapelekwa kisha wanakuibukia na kukuibua.
2. Wajibu of duty, kutokana na kuwajibika kwenye nafasi fulani fulani, unajikuta unakuwa recruited as tiss utake usitake, mfano kwenye kila taasisi za fedha, kuna kitengo cha FIU, wale ni ma tiss, hicho kitengo kikibaini dirty money or money laundering, hakiwezi kuripoti direct BOT bali kupitia kwa bank manager, hivyo mameneja wote wa benji zote ni ma tiss kwa mujibu wa majukumu yao, kama walivyo ma meneja wa makampuni yote ya simu ndio wanao ruhusu tapping.
3. Kundi la mwisho ni ma informers, hawa wanakuwa recruited from their normal natural habitat, kama ni malaya, anakuwa recruited na kuendelea na umalaya wake, kama ni jambazi, anakuwa recruited na kuendelea na ujambazi wake!, kama ni siasa anakuwa recruited na kuendelea na kazi zake, ila unakuwa unatumiwa, hivyo unaweza kukuta wote mko pamoja bila kujuana kwasababu informers wanakuwa recruited individuals hadi wauza karanga, ma she shiners hadi mateja. Mabosi wengi ni ma tiss huku ma sectaries wao nao ma tiss huku ma messenger ni ma tiss hadi ma cleaners wale waosha vyoo!.

With naked eyes, you can't tell who is tiss and who is not, lakini sisi tuliojaaliwa macho ya rohoni tukiwaona tuu tiss, tunawajua, mfano mimi kutokana na kuzaliwa kwa baba na Mama wa idara, nimejikuta nimezaliwa with inborn intelligence, nilipaswa niwe tiss, ila basi tuu, lakini hii tiss yetu ya siku hizi imejaa mijitu mijinga na migoigoi ajabu!, hata nilipo wapa tip ya risks ambazo Blaza alikuwa anawindwa, mitisi mijinga haikuweza kum protects!, mwisho wa siku wakamfikia, wakala kichwa!.
Angalia mabandiko haya ya warnings ni ya lini anzia hapa US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? kisha,
Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? kisha Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?. Hawa ma tisi wetu, ma tiss wa ukweli ni wachache, walio wengi ni hakuna kitu ni ma empty shells!. Yaani mpaka leo wameshindwa kuwabaini wasiojulikana!, tumejitolea kuwasaidia, hawa saidiki!. WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?.

Hivyo ukilisoma bandiko hili kuhusu ma tisi wa Chadema, utaelewa! CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?

Chadema enzi za Dr. Slaa ilisumbua ndipo ukatafutwa udhaifu wa dr, ukajulikana, ikachukuliwa ndoano ikawekwa pande la mnofu, jamaa si akafakamia kumeza pande lote la mnofu kumbe kazama kwenye ndoana!, akacholopolewa mzima mzima kama kuvua samaki kwa ndoano!.

Baada tuu ya Lowassa kutua Chadema, kuna kitu nilikisema humu, Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! haukupita muda mtu akatangaza kushindia mihogo!, ila kukodi ukumbi wa press conference Serena Hotel na kulipia live ya masaa 3, vituo 4 vya TV!. Kuna kitu nikakisema Ana kwa ana na Dr. Mwakyembe: Awashangaa Waliomuona yeye tu, Lakini wengine hawakuwaona! ukiisha wajua ma tisi!, hawakupi taabu kabisa!.
P
Ni makosa sana kutofanya kazi na pasco kama kiongozi nchini!

Hili ni Tatizo kutoona kipaji chake!
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Hakikisha kwanza anawekewa mazingira hatarishi endapo akikiuka haya

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee


Britanicca
We jamaa siyo wa kubeza!

Una info na kweli jamaa yupo makini Nini cha kutamka siku ya uzinduzi wa mkutano pale Mwanza!
 
mfano mimi kutokana na kuzaliwa kwa baba na Mama wa idara, nimejikuta nimezaliwa with inborn intelligence, nilipaswa niwe tiss, ila basi tuu, lakini hii tiss yetu ya siku hizi imejaa mijitu mijinga na migoigoi ajabu!, hata nilipo wapa tip ya risks ambazo Blaza alikuwa anawindwa, mitisi mijinga haikuweza kum protects!, mwisho wa siku wakamfikia, wakala kichwa!.
Hakuna kitu kama hicho bhana....ugonjwa wake ulikuwa unafahamika kitambo.
 
Mambo yetu ili yanyooke mtoeni jamaa nje alafu moja kwa moja aje nyumba mithili ya meli ! Pale wanapoingia kwa code maalumu na hawaitani majina wanaitana chifu pili ukienda ijumaa aga kabisa nyumbani wenda ukarudi jumatatu maana simu zinaachwa reception 🤕

Itatupunguzia haya

Kitaifa tutatulia na ana ushawishi kwa kundi lake ila apewe miongozo kadha wa kadha kwamba bila hili kuna hiki bila lile kuna hili.

Stahiki apewe na asizibwe kabisa mdomo bali aongee kuwahadaa wafuasi

Safari zake je?

Atalipiwa kila kitu na posho atapata kwa kifupi tunamuajiri rasmi hata kama ni mzee

Britanicca
Duh Mkuu britanicca, kiukweli unatisha!.
P
 
Unamdanganya nani babu!!?..unauliza Kama idara Wana akili kiasi hicho!!..unacheza kiganjani mwa idara,pata ruzuku toka hazina,Fuga familia lakini utadance according to idara tunes
Idara imejaa vijana wa CCM tangu lini ikawa na umakini huo ndugu? Acheni vichekesho basi, wanachoweza ni kupanga magenge ya kuiba kura na kutapanya kodi zetu tu
 
Inanikumbusha kipindi naishi sicil, italy,, Capo de capone wangu kipindi hicho alikua analisha adui zake kwenye zizi la nguruwe wenye njaa kali,,
Very terrible, yaani haubaki hata mfupa[emoji26]

Richard Harris’ Hannibal Lecter!

Anyway.

Truth can be strange than fiction.
 
Hii inaonyesha siasa tunazosikilizishwa sio zinazoamua mustakabali wa nchi. Nchi ni kubwa mno na mifumo ya uendeshaji ni very complex
 
Naona unajifanya kucheza mind game, lakini kama ni Mbowe ndio anatumika kwenye hilo, basi watu tumeshamstukia na kumpotezea. Ni muda mfupi tutaanza kumkana hadharani. Kama mliamini anasikilizwa kiasi cha kuagiza chochote mmeliwa. Alifanikiwa kumpa Lowassa nafasi ya kugombea urais, ila kosa lile halitakaa lirudiwe.
Tindo unasemaje juu ya mada hii kwa hivi sasa?
 
Back
Top Bottom