Walker Water
JF-Expert Member
- Aug 23, 2022
- 842
- 3,357
Magufuli alikua na track record kubwa siku anatangazwa wapinzani wote walisema watampa ya Urais ila ubunge Chadema!! Hata humo Chadema ni Zitto peke yake alikua hamkubali JPM ila the rest walimuona ni tofauti na CCM wengine!!Ninyi ni wajinga Wananchi au watu kuipigia kura CHADEMA mwaka 2015 haikuwa sababu Ya Lowassa ilikuwa ni kazi kubwa ilofanywa Na Chadema kwa miaka mingi Na operations kadhaa kwenye nchi! CHADEMA haikuwa imefanya kazi ndogo kama unavyodhani hata Kwenda Kwa Lowassa CDM ilikuwa nafuu Kwa CCM kuliko Angesimama mtu Tofauti ! Tatizo Lowassa aliwahadaa mkadhani ye ndo kasababisha hizo kura ,
Britanicca
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kweli.Kamwe usimwamini mwanasiasa mjukuu - hata kama ni babako mzazi!
Sio TISS ya bongo Sasa, hizo ni TISS za nchi zilizoendelea huku Tz nawajua TISS wengi tu hata kutumia Ms Excel changamoto ndio wataweza kuwa deep cover??Dogo hujui mambo mengi TISS anaweza akapigwa hata Miaka 10 gerezani akifanya kazi fulani , TISS anaweza hata akawa kwenye mazingira magumu msielewe Na ina kuwa credit kwake kutojulikana yaan mazingira yanatengenezwa kiasi Kwamba huwezi kuhisi kitu kila ükijaribu kuwaza haiingii äkilin, ilimradi apate Salary yake Na atunze Kiapo
Mashinji kama Ilivyo CCM, Katibu anateuliwa na Mwenyekiti so yes ni maamuzi binafsi ya Mbowe!! Ila baada ya pressure juu ya "outsiders" kupewa nafasi ilibidi wafutwe wote kuanzia Nyalandu, Sumaye, Mwambe, Mashinji na akaweka wafia chama kama Kigaila, Mnyika, n.kKwa hiyo ujio wa Lowasa na ukatibu wa Mashinji yalikuwa maamuzi binafsi ya Mbowe na si kamati kuu?
Mnyika (Aligoma hata kugombea Ubunge)Mbona tulipokuwa tunawambia kuchemka kwenu juu ya ujio wa Lowasa na Mashinji hao wanakamati kuu ndio walikuwa wa kwanza kutoa mapovu?
Nitajie mwanakamati kuu ambae hakuridhia ujio wa Lowasa na kuteuliwa kwa Mashinji?
Uzushi bwana hakuna hicho kwenye Ile video ya interview. Ile ni safiri ya IDU so Kaenda kama mwenyekiti wa vyama vya upinzani Afrika not otherwise. Sasa safari ya IDU inadhaminiwaje na serikali hapo hapo?
We unabisha sana nimekusoma comments nyingi umejaa ubishi hata Kwa mambo ambayo huyaelewi acha kuchanganya TISS na Askari wa kawaida Nakwambia ogopa MTU ambaye hasemi ukiona amejisema huyo siyo TISS ni mfagiaji maeneo ya TISS ana anajua ana Juana na TISSSio TISS ya bongo Sasa, hizo ni TISS za nchi zilizoendelea huku Tz nawajua TISS wengi tu hata kutumia Ms Excel changamoto ndio wataweza kuwa deep cover??
Kingine TISS wapo Kila taasisi (At Least informants) Hilo linajulikana ila kazi Yao ni kukusanya taarifa nani kakwambia kwenye vyama TISS wapo Ili kuwa wenyeviti?? Makene is more likely to be TISS than Mbowe!! Hauwezi ukaweka agent kwenye nafasi iliyo obvious na kwenye spotlight!! Unadhani hao wadhamini wa CDU hawamfanyii Mbowe surveillance?
Tatizo lenu mnaangalia movie nyingi mnadhani ndio jinsi mambo yanafanya kazi kwenye failed govt kama ya CCM. Wangekua na akili hizo gesi tungetapeliwa? Makinikia yangeibwa? TISS Gani wanashindwa kupredict kupungua kwa mvua? Hawajui Nishati ni strategic?
Acheni kuwakuza, they're average minds hawana akili hiyo ya kuweka mwenyekiti Chadema.
Na kawavusha kweliTuvushe mwamba tuvusheeeee 😀😀😀😀 hata wale wadada 19 kuna mkono wa mwamba 100% sema tu jamaa ni fundi wa kucheza na akili zetu ndo maana tumechelewa Sana kumshtukia
Sasa kijana unajielewa ufahamu wako uko huru hongera mkuuNa kinachonisikitisha kuna vijana wenzetu wa chadema "eti" wanataka apewe awamu nyingine ya uongozi??. Toka nikipomsikiliza aseme et anataendelea maridhiano na CCM nikaona huyo jamaa ni bwege na hana maana kabisa!!.
Unawezaje kukaa meza ya malidhiano kuomba mikutano iliyopo kikatiba?, Hana la maana na huko anakozunguka anafanya upuuzi Hana la maana.
Kwenda kuzimNa kawavusha kweli
Inanikumbusha kipindi naishi sicil, italy,, Capo de capone wangu kipindi hicho alikua analisha adui zake kwenye zizi la nguruwe wenye njaa kali,,Ndo basi tena kashatafunwa
Gesi imetapeliwa lini boss wangu? 😂,Makinikia yameibwa wapi?,Sio TISS ya bongo Sasa, hizo ni TISS za nchi zilizoendelea huku Tz nawajua TISS wengi tu hata kutumia Ms Excel changamoto ndio wataweza kuwa deep cover??
Kingine TISS wapo Kila taasisi (At Least informants) Hilo linajulikana ila kazi Yao ni kukusanya taarifa nani kakwambia kwenye vyama TISS wapo Ili kuwa wenyeviti?? Makene is more likely to be TISS than Mbowe!! Hauwezi ukaweka agent kwenye nafasi iliyo obvious na kwenye spotlight!! Unadhani hao wadhamini wa CDU hawamfanyii Mbowe surveillance?
Tatizo lenu mnaangalia movie nyingi mnadhani ndio jinsi mambo yanafanya kazi kwenye failed govt kama ya CCM. Wangekua na akili hizo gesi tungetapeliwa? Makinikia yangeibwa? TISS Gani wanashindwa kupredict kupungua kwa mvua? Hawajui Nishati ni strategic?
Acheni kuwakuza, they're average minds hawana akili hiyo ya kuweka mwenyekiti Chadema.
Naheshimu maoni yako ila Kwa candidacy ya JPM 2015 anything short of Lowassa upinzani ungezikwa rasmi bila hata kura kuibwa. Sidhani tungepata wabunge 120+ imagine CUF walipata wabunge zaidi ya 40!!
As much as ilikua a moral mistake ila politically it was the right decision. Sidhani kama Dr Slaa angeweza mount a serious challenge kama Ile. Na kama tume ingekua huru tungekua tunaongea mengine kwa Sasa
Umesoma muswada wa Mapato ya gesi na mafuta? Wapinzani walikataa Hadi kutolewa bungeni ila CCM wakaupitisha. JPM akaingia akasema ufanyiwe marekebisho makubwa maana ndio yamesababisha "tuibiwe" gesi yetu!!!Gesi imetapeliwa lini boss wangu? 😂,Makinikia yameibwa wapi?,
Ujue nchi hii iko na majungu mengi sana, usiamini kila kitu,,,
Sio ubishi hata jukwaa la intelijensia nimeweka mada nyingi sana kuhusu spies na spy rings, dark arts, economic intelligence, media as a tool for intelligence, proxy wars, deep cover agents n.k so naelewa nachosema unless hujawahi nisoma kule.We unabisha sana nimekusoma comments nyingi umejaa ubishi hata Kwa mambo ambayo huyaelewi acha kuchanganya TISS na Askari wa kawaida Nakwambia ogopa MTU ambaye hasemi ukiona amejisema huyo siyo TISS ni mfagiaji maeneo ya TISS ana anajua ana Juana na TISS
Nashaur mwambe apewe uenyekiti au nasema uongo mkuu!!Soma tarehe ya bandiko hili CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
P
Gesi inaibiwaje kabla haijaanza kuzalishwa?,, Jpm alikua na fundamental zake ambazo sio realistic kivile, na kila mtu mwenye uelewa anajua,, hii miradi ya gesi duniani kote huwa inakuwa na starndard zake,, sio mtu anaamka tu asubuhi na kusema wewe chukua aslimia 10,halafu 90 ziwe zangu,,Umesoma muswada wa Mapato ya gesi na mafuta? Wapinzani walikataa Hadi kutolewa bungeni ila CCM wakaupitisha. JPM akaingia akasema ufanyiwe marekebisho makubwa maana ndio yamesababisha "tuibiwe" gesi yetu!!!
Sasa whether it's true or not official narrative ni kwamba rasilimali za nchi hii zimechezewa sana hata taarifa za CAG pia uchunguzi kwenye Tanzanite one pamoja na TEITI zinaeleza kwa ndani. Sasa hayo yote yangewezakana vipi kama TISS Ina akili kama mnavyojinasibu humu?
Kwani TISS hawakuona muswada una makosa? TISS Haina wabunge? Iliruhusu vipi muswada wa kifisadi upite? Eti hao hao ndio mnatuaminisha Wana akili ya kuwachagulia Chadema mwenyekiti?
Thubutu!
Unamdanganya nani babu!!?..unauliza Kama idara Wana akili kiasi hicho!!..unacheza kiganjani mwa idara,pata ruzuku toka hazina,Fuga familia lakini utadance according to idara tunesIdara ipi hiyo? Unadhani Wana akili kiasi hiko? Kama Membe alikua Mkurugenzi wa TISS ndio hata kampeni zilimshinda na akapotezwa kabisa na Lissu wtf is idara?
Chadema haiamuliwi mambo na Mbowe, Kuna kamati kuu au kwa akili Yako ulidhani Mbowe ndio alitaka Lissu agombee? Au alikubali Mnyika awe Katibu? Ni baada ya kamati kuu kumkaanga ujio wa Lowassa na Ukatibu wa Mashinji!!
Chama Cha siasa sio kanisa kwamba wote ni followers tu hamna Cha kuhoji. That is not Chadema, kama Lema na Lissu wote wanamkosoa Mbowe hadharani usidhani ndio alpha na omega akikengeuka tu atafurumushwa kama Mbatia NCCR.