Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi hapa kocha itali amesema hataki wachezaji waafrika kwA sababu ya kuja kucheza mashindano ya afrika huku mbona hamkusema ni ubaguziMchezaji wetu Simba wewe ana kuhusu nn kule ulaya uliona wapi mane akiitwa mwafrika zaid kuliko jina lake
Leta mzungu [emoji23][emoji23]Umewahi ishi ulaya sehemu Gani
Juzi hapa kocha itali amesema hataki wachezaji waafrika kwA sababu ya kuja kucheza mashindano ya afrika huku mbona hamkusema ni ubaguzi
Vyombo vya habari huandika mchezaji wa afrika /mwafrika ashinda tuzo ulaya wala hakuna shida
Ko kumuita mtu kwA asili yake ni ubaguzi
Wanathiiiiiiimbaaaaaaaa
Leta mtasha leta mtashaMimi mshabiki wanyanga lakini Kinachoendelea dhidi ya mchezaji huyu sio sawa na kinatudhalilisha sote
Kwa hiyo umelipiza ?Utani tu mkuu......don't take personal
....hata Aziz ki ....walisema anadomo lefu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo umelipiza ?Utani tu mkuu......don't take personal
....hata Aziz ki ....walisema anadomo lefu[emoji23][emoji23][emoji23]
You are missed a lot.Kwa kweeli.
Acha kukashifu uumbaji mkuuNyie mautopolo mnavichekesho kweli. Mnamtania mzungu wetu siyo? Ngoja nasisi tumtanie mzungu wenu sasa.View attachment 2324912
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Zoezi hili nimelikubaliMzungu ameanza mazoezi ya kasi (supersonic speed) .....ili kumdhibiti Mayele[emoji23][emoji23]View attachment 2324615
Kwahiyo hata ndugu zetu wanaocheza ulaya wanapotupiwaga maganda ya ndizi ni sawa? Ni utani tu?Utani wa hivi katika soka unafanyika dunia nzima labda uanze kushabikia soka jana,au kisa huyo ni mzungu ndani ya ardhi yako ya Tz? acha inferiority complex
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha. Naona unapata kazi kuwafafanulia. Lol
Sioni kama ni kitu kiko serious kiviile zaidi ya utani kama utani Mkuu.