Mlevi aua Wanafunzi Watatu wa UDOM, Mama mjamzito na bodaboda wawili Dodoma

Mlevi aua Wanafunzi Watatu wa UDOM, Mama mjamzito na bodaboda wawili Dodoma

damu ya wapinzani waliouwa Tanzania itatafuna hii Tanzania hadi wote tuingie barabarani kupinga hila za CCM
Lakini walevi wengi ni chadema zingitia yule kiongozi wa chadema iringa alilewa akagonga gari la watu akakamatwa na police akasingizia siasa pia hata mwenyekiti wenu ashawahi lewa konyagi Hadi akaangukia mkono
 
Mlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.

Inasikitisha sana ,barabarani kuna madereva wa aina mbalimbali ,nashangaa utamkuta mtembea kwa miguu anatembea upande ambao analipa mgongo gari.
 
Mlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.


=================

Watu wawili inasemekana wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa Jijini Dodoma, baada ya kugongwa mfululizo na gari aina ya RAVA 4 lenye namba za usajili T156 EJJ.

Dereva wa gari hilo anadaiwa kuanza kuwagonga watu hao kuanzia eneo la Makulu Majumba Sita mpaka Makulu Darajani majira ya saa mbili usiku wa Novemba 03, 2024.

Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema chanzo chake ni uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo huku akidaiwa amelewa.

Chanzo: TBC
"Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: 'Ndani ya hivyo mna dhambi kubwa na manufaa kwa watu, lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake.'…”
(Surah Al-Baqarah, 2:219)
 
Wagogo wamefeli sana walitakiwa na wao wampe kipigo heavy wamuue huyo jamaa ili iwe fundisho kwa vijana wote wanaolewa na kuendesha gari vibaya
 
Dodoma sahv kuna ushamba wa watu kulewa...kupiga mtungi sana
Watu wanaona ujanjaaa na ufahari

Ova
Kulewa ni tatizo la nchi nzima kwa sasa,tena hadi wanawake wameingia kwenye ulevi
 
Back
Top Bottom