Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Kesi ishakuwa ya kisiasa hiyo, hatoki ng'oooo, hapo vyombo vya habari kila siku kupiga simu kuulizaKibongobongo anaweza akatoka na akawa njeee .....pesa tu inaongea
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi ishakuwa ya kisiasa hiyo, hatoki ng'oooo, hapo vyombo vya habari kila siku kupiga simu kuulizaKibongobongo anaweza akatoka na akawa njeee .....pesa tu inaongea
Ova
atahukumiwa kwa kuua bila kukusudia..huyu hana kesiHapana,
Huyo anafunguliwa kesi ya kuua kwa kukusudia, hio ni murder case,
Picha linaanza anakosa dhamana
Unaendeleaje classmate?R.i.P Classmates 😥 Hao ndio wanao tuharibia sifa ya pombe ☹️
Kumbe Dodoma ofisi za TISS ziko wazi kabisa?!Mlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma,
Au anavuka barabara kwa maringo akiwaamini madereva, kumbe wengine walevi.Inasikitisha sana ,barabarani kuna madereva wa aina mbalimbali ,nashangaa utamkuta mtembea kwa miguu anatembea upande ambao analipa mgongo gari.
Haiwezi kuwa kesi ya mauaji kwa kukusudia hiyo, haja premeditate, ni manslaughter, Ila ni ujinga mtupuHapana,
Huyo anafunguliwa kesi ya kuua kwa kukusudia, hio ni murder case,
Picha linaanza anakosa dhamana
Au anavuka barabara kwa maringo akiwaamini madereva, kumbe wengine walevi.
Nazidi kua imara mkuuUnaendeleaje classmate?
Kweli kabisa na wengi wavuta bangiLakini walevi wengi ni chadema zingitia yule kiongozi wa chadema iringa alilewa akagonga gari la watu akakamatwa na police akasingizia siasa pia hata mwenyekiti wenu ashawahi lewa konyagi Hadi akaangukia mkono
😄 tz hiiKesi ishakuwa ya kisiasa hiyo, hatoki ng'oooo, hapo vyombo vya habari kila siku kupiga simu kuuliza
Labda hakuna njia ya Watembea kwa miguuYaani wanavuka utafikiri wanafanya mashindano ya urembo/uMiss cat walk kama zote wakivuka barabara.
Ulevi NomaMlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.
=================
Watu wawili inasemekana wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa Jijini Dodoma, baada ya kugongwa mfululizo na gari aina ya RAVA 4 lenye namba za usajili T156 EJJ.
Dereva wa gari hilo anadaiwa kuanza kuwagonga watu hao kuanzia eneo la Makulu Majumba Sita mpaka Makulu Darajani majira ya saa mbili usiku wa Novemba 03, 2024.
Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema chanzo chake ni uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo huku akidaiwa amelewa.
Chanzo: TBC
Ajali za uzembe wa madereva na ulevi wa kipumbavu. Mungu hahusiki.Mwisho wa mwaka huu ajali zimekuwa NYINGI tuwe makini ndugu zangu na tuwe karibu Zaidi na Mungu
Mbali na pombe alilewa namba za gari maana hivi sasa mtu akiwa na E tena nyeusi basi mwenye A kaa mbali ni shida barabaranibaada ya kugongwa mfululizo na gari aina ya RAVA 4 lenye namba za usajili T156 EJJ.
Classmate umepona? Karibu Tena jamvini mkuu,R.i.P Classmates 😥 Hao ndio wanao tuharibia sifa ya pombe ☹️
Naendelea vizuri sana mkuu...🤝Classmate umepona? Karibu Tena jamvini mkuu,
Pole sana kwa majanga,