Lakini walevi wengi ni chadema zingitia yule kiongozi wa chadema iringa alilewa akagonga gari la watu akakamatwa na police akasingizia siasa pia hata mwenyekiti wenu ashawahi lewa konyagi Hadi akaangukia mkonodamu ya wapinzani waliouwa Tanzania itatafuna hii Tanzania hadi wote tuingie barabarani kupinga hila za CCM
Mlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.
Akili mgando sasa inahusiana nini na Ajali siasa hadi sehemu zisizostahili siasadamu ya wapinzani waliouwa Tanzania itatafuna hii Tanzania hadi wote tuingie barabarani kupinga hila za CCM
Huyo hana haki hata ya kuendelea kuishi jela, starehe zako uondoe uhai wa watu kizembe. He deserves public execution
Masha'Allah. Allahuma AmiinNimepata nafuu kubwa sana mkuu, asante kwa kunijulia hali
Pole sana classmate....R.i.P Classmates....😥
Hao ndio wanao tuhatibia sifa ya pombe...☹️
Hapana,Mkuu unajua traffic cases kweli? Hapo atalipa fine 180,000/= na atanyang'nywa leseni tu basi.
Kibongobongo anaweza akatoka na akawa njeee .....pesa tu inaongeaHapana,
Huyo anafunguliwa kesi ya kuua kwa kukusudia, hio ni murder case,
Picha linaanza anakosa dhamana
Umepona wewe,kesho tukutane sehemu nikupe japo bia mbiliNimepata nafuu kubwa sana mkuu, asante kwa kunijulia hali
"Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: 'Ndani ya hivyo mna dhambi kubwa na manufaa kwa watu, lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake.'…”Mlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.
=================
Watu wawili inasemekana wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa Jijini Dodoma, baada ya kugongwa mfululizo na gari aina ya RAVA 4 lenye namba za usajili T156 EJJ.
Dereva wa gari hilo anadaiwa kuanza kuwagonga watu hao kuanzia eneo la Makulu Majumba Sita mpaka Makulu Darajani majira ya saa mbili usiku wa Novemba 03, 2024.
Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema chanzo chake ni uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo huku akidaiwa amelewa.
Chanzo: TBC
Nazidi kuiona nuru mkuu...Pole sana classmate....
Unaendeleaje lakini
Ova
Fanya chap mkuu, kiu....😋Umepona wewe,kesho tukutane sehemu nikupe japo bia mbili
Nipigwe ban tu ,ila we ni ****damu ya wapinzani waliouwa Tanzania itatafuna hii Tanzania hadi wote tuingie barabarani kupinga hila za CCM
Hatari sana. Na ukiwaambia ni wabishiInasikitisha sana ,barabarani kuna madereva wa aina mbalimbali ,nashangaa utamkuta mtembea kwa miguu anatembea upande ambao analipa mgongo gari.
Pole sana mkuu, tunazidi kukuombea ukae sawa kiafya.Nimepata nafuu kubwa sana mkuu, asante kwa kunijulia hali
Kulewa ni tatizo la nchi nzima kwa sasa,tena hadi wanawake wameingia kwenye uleviDodoma sahv kuna ushamba wa watu kulewa...kupiga mtungi sana
Watu wanaona ujanjaaa na ufahari
Ova