Hapana,
Huyo anafunguliwa kesi ya kuua kwa kukusudia, hio ni murder case,
Picha linaanza anakosa dhamana
Ameen.Nazidi kua imara mkuu
Labda Kwa kuwa tumerudi zama zile za unanijua Mimi ni nani.... Matukio mengi ya ajabu ajabu yametokea tangu aingie "Mama"... Na kesi zinaenda tu kimsegasega ... Labda ndio sababu yake.Sasa inahusiana nini ya mlevi na ccm? Kwahiyo ccm ndio imemtuma mlevi akawagonge!
Tuanze kushughulika na aliyempa pombeMlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.
=================
Watu wawili inasemekana wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa Jijini Dodoma, baada ya kugongwa mfululizo na gari aina ya RAVA 4 lenye namba za usajili T156 EJJ.
Dereva wa gari hilo anadaiwa kuanza kuwagonga watu hao kuanzia eneo la Makulu Majumba Sita mpaka Makulu Darajani majira ya saa mbili usiku wa Novemba 03, 2024.
Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema chanzo chake ni uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo huku akidaiwa amelewa.
Chanzo: TBC
Huyu bila shaka ni mtu wa ovyo. Hata ajali ambazo kiuhalisia zinahitaji umakini na kujijali ili kuziepuka ye anaisingizia CCMSasa inahusiana nini ya mlevi na ccm? Kwahiyo ccm ndio imemtuma mlevi akawagonge!
Kwan za makumbusho zimefichwa?Kumbe Dodoma ofisi za TISS ziko wazi kabisa?!
Labda hakuna njia ya Watembea kwa miguu
Ova
Mlevi mmoja akiendesha gari huku amelewa amewagonga na kuwaua Wanafunzi wa Tatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Mama mjamzito na boda boda wawili maeneo ya Makulu opposite na ofisi za TISS na makutano ya Shoppers mkoani Dodoma, baada ya ajali wananchi nao walimshikisha adabu kidogo kwa kumpa kipondo kizito na kuharibu vibaya gari lake.
=================
Watu wawili inasemekana wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa Jijini Dodoma, baada ya kugongwa mfululizo na gari aina ya RAVA 4 lenye namba za usajili T156 EJJ.
Dereva wa gari hilo anadaiwa kuanza kuwagonga watu hao kuanzia eneo la Makulu Majumba Sita mpaka Makulu Darajani majira ya saa mbili usiku wa Novemba 03, 2024.
Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema chanzo chake ni uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo huku akidaiwa amelewa.
Chanzo: TBC
Waliopaswa kuwawa siyo hao bali wasaliti ghaaaaaaUnaendeleaje classmate?