Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema wakuu!

Hizi habari za kuchapiwa, kuchapiana Wake na Wachumba hizi ni Mvua tuu za rasharasha. Tunasema haya ni mavuno ya awali, bado mambo hayajachanganya. Mambo yakichanganya hapa Dunia itakuwa na tafrani.

1. Mliambiwa Mwanamke anatakiwa Aolewe akiwa Bikra, mkasema bikra haimfanyi Mwanamke kuwa mwaminifu. Mkajiona mnaakili kuwashinda Mababu zenu.
Sawasawa, huu ndio muda wa kuvuna mlichopanda.

2. Mliambiwa na Mababu zenu kuwa Mwanamke hapaswi kumiliki uchumi, kupewa nafasi za utawala.
Ninyi mkajiona mnaakili kuwashinda wazee wenu. Hizi ni Mvua za rasharasha tuu. Nafikiri kizazi kinachofuata ndio mavuno yatachanganya.

3. Mliambiwa na Wazee wenu kuwa Hakuna urafiki baina ya mwanaume na Mwanamke. Mkawaona wazee wenu ni hamnazo.
Ati MTU anaruhusu Mkewe ataniwe taniwe hovyo, simu ya Mkeo imejaa chatting akichat na wanaume, Kwa kisingizio ni marafiki zake, sijui wafanyakazi wenzake, sijui classmates gani Huko.
Mtavuna mlichokipanda.
Eleweni kuwa NI ngumu Sana Mwanamke kuchapwa ndani ya siku moja bila mazoea.

4. Mliambiwa mkapuuza, msioe Wanawake wenye watoto, hasa Kwa kijana ambaye ni mdogo. Mkajifanya mnayajua mapenzi kuliko waliowazaa.
Sasa yakiwakuteni mnaanza kupiga mayowe.
Vijana lazima mjue kuwa kuna tofauti ya mapenzi na Ndoa. Mapenzi ni hisia lakini ndoa au familia ni taasisi inayoongozwa Kwa sheria na kanuni. Wakati mapenzi hayana Kanuni wala sheria.
Sio kosa kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na single mother, Ila ni kosa la kimkakati kuingia ndoani na Single mother.

Na hapa nazungumzia Kwa vijana wadogo wenye umri Chini ya miaka 40. Wazee mnaweza kuoa Mwanamke yeyote.

5. Mliambiwa msioe makabila tofauti. Mkajifanya mnaakili kuliko Babu zenu. ATI Kwa kudanganywa na maneno ya kisiasa. Ni kweli Sisi ni taifa moja lakini Sisi ni makabila tofauti yanayounda taifa moja.
Utofauti wa kimakuzi, desturi na Mila huchangia pakubwa kuvurugana ndani ya Familia.
Lakini hamtaki, kisa mnajifanya mmesoma, sijui mnashahada za uzamivu🤣🤣🤣 sasa mtavuna maumivu.

6. Mliambiwa Msiwe na huruma Sana na Wanawake na msiwaamini. Lakini Kwa ulofa wenu mmejichanganya.
Ni kweli wanasura za huruma, ni kweli wanatoaga machozi, ni kweli wanauwezo wa kuigiza ili waonewe huruma lakini kamwe usijichanganye.

Tumieni Akili, tumieni busara na hekima lakini msiongozwe na Huruma za kitoto na mihemko.
Oooh! Nimechepuka mara moja, nisamehe, ni Shetani, hakika Mimi ni Mwanadamu, huku anapiga magoti na kujiuliza. Upuuzi tuu! Sisi kama waafrika hakunaga kitu kinaitwa Msamaha Kwa kesi kama hizo.
Oooh! Huyu mtoto sio wako, Hana kosa lolote. Penda boga na Ua lake. Come on! Mmelogwa

Ooh! Taikon unachuki na Wanawake, hapana sina chuki. Hayo ni matunzo kila mwanaume lazima ayajue.
Vinginevyo vilio havikomi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji419][emoji419][emoji419]
Screenshot_20230220-133944.jpg
 
Kaka nakuhakikishia kwa uwezo niliona kwa namna yoyote nikikutana na mke wako haijalishi ulimkuta bikra ukinipa daika tano za kuzungumza nae hatakuwa na uwezo wa kunisahau, kitakachofata baada ya hapo ni kupaga siku ya kumnyandua tu

Wanawake wanapenda wanaume wenye pesa, harafu uwe Hb na usiwe mjuaji

Sasa ww kwa ujuji wako huo naamini mkeo ameshakuchoka ni swala la muda tu.
 
Daaah mwamba umenigusa sana, nimesafiri kikazi nipo mbali kimkoa nimezinguana na wife kwenye simu ananiambia majira ya jioni nisimtafute kwenye simu na Kama nitakuwa mbishi nitajuta nitakachokisikia(anamaanisha anaenda kuliwa), Nina machungu hayana mfano, mafunzo niliyojia huku hata hayanogi kabisa, nipo nawaza atakavyovuliwa chupi(sjui atavaa shanga au cheni, vyote nimenunulia Mimi) ...aaarrgh!!!

Kwa kweli nikiacha huyu mwanamke, sitakuja kuoa tena maisha yangu yote
 
Kaka nakuhakikishia kwa uwezo niliona kwa namna yoyote nikikutana na mke wako haijalishi ulimkuta bikra ukinipa daika tano za kuzungumza nae hatakuwa na uwezo wa kunisahau, kitakachofata baada ya hapo ni kupaga siku ya kumnyandua tu

Wanawake wanapenda wanaume wenye pesa, harafu uwe Hb na usiwe mjuaji

Sasa ww kwa ujuji wako huo naamini mkeo ameshakuchoka ni swala la muda tu.

Tuje upande wako, unafikiri Mkeo akikutana na Mimi nini kitatokea?
Ingawaje atakuwa shobo na Mimi lakini ninauhakika hana Sifa za kuwa na Mimi
 
Daaah mwamba umenigusa sana, nimesafiri kikazi nipo mbali kimkoa nimezinguana na wife kwenye simu ananiambia majira ya jioni nisimtafute kwenye simu na Kama nitakuwa mbishi nitajuta nitakachokisikia(anamaanisha anaenda kuliwa), Nina machungu hayana mfano, mafunzo niliyojia huku hata hayanogi kabisa, nipo nawaza atakavyovuliwa chupi(sjui atavaa shanga au cheni, vyote nimenunulia Mimi) ...aaarrgh!!!

Kwa kweli nikiacha huyu mwanamke, sitakuja kuoa tena maisha yangu yote

Punguza munkari Mkuu.
Picha ndio Kwanza limeanza
Utulivu, saburi, heshima, Haki, ukweli, upendo, hivyo ndio vikuongoze
 
Daaah mwamba umenigusa sana, nimesafiri kikazi nipo mbali kimkoa nimezinguana na wife kwenye simu ananiambia majira ya jioni nisimtafute kwenye simu na Kama nitakuwa mbishi nitajuta nitakachokisikia(anamaanisha anaenda kuliwa), Nina machungu hayana mfano, mafunzo niliyojia huku hata hayanogi kabisa, nipo nawaza atakavyovuliwa chupi(sjui atavaa shanga au cheni, vyote nimenunulia Mimi) ...aaarrgh!!!

Kwa kweli nikiacha huyu mwanamke, sitakuja kuoa tena maisha yangu yote
Kupenda kuliko pitiliza,mtakufa vibaya nyinyi..sijui
 
Daaah mwamba umenigusa sana, nimesafiri kikazi nipo mbali kimkoa nimezinguana na wife kwenye simu ananiambia majira ya jioni nisimtafute kwenye simu na Kama nitakuwa mbishi nitajuta nitakachokisikia(anamaanisha anaenda kuliwa), Nina machungu hayana mfano, mafunzo niliyojia huku hata hayanogi kabisa, nipo nawaza atakavyovuliwa chupi(sjui atavaa shanga au cheni, vyote nimenunulia Mimi) ...aaarrgh!!!

Kwa kweli nikiacha huyu mwanamke, sitakuja kuoa tena maisha yangu yote
Acha kujiita lodilofa
 
ila wewe si ndio ulikuwa unapingana na jokajeusi kuhusu bikra anyway

mimi ni mmoja wa wanaume niliozaliwa kizazi hiki lakini role mode
zangu ni wazee wa zamani sio hawa kinamasanja na kina konde
hii ni baada ya kutambua dunia inahitaji misimamo na maamuzi magumu sio huu ujinga wa kujifanya unajua kucare sana
mifumo na misingi ya hii dunia ni utawala wa chuma sio demokrasia ni friction
 
Back
Top Bottom