Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Kaka nakuhakikishia kwa uwezo niliona kwa namna yoyote nikikutana na mke wako haijalishi ulimkuta bikra ukinipa daika tano za kuzungumza nae hatakuwa na uwezo wa kunisahau, kitakachofata baada ya hapo ni kupaga siku ya kumnyandua tu

Wanawake wanapenda wanaume wenye pesa, harafu uwe Hb na usiwe mjuaji

Sasa ww kwa ujuji wako huo naamini mkeo ameshakuchoka ni swala la muda tu.
Wenzake wanaongea huku wanjipiga vifua, wewe unaongea huku unajipapasa makalio
 
Robert Heriel,
Inanilazimu kuandika haya machache.

Kwanza niwaambie Watanzania wenzangu

Huyu Robert Heriel is a bigoted mysogynist. Ni mbaguzi wa kimbari na ni mtia chuki kwa Wanawake.



Ipo siku. Mtasoma bandiko hili, lakini itakuwa too late. sumu zake, kama anavyoaashiria, zimewakumba wengi na kwa majivuno ameyakuwa hadharani kwa kificho cha porojo porojo kama kawaisa yake. Amini anachosema, anatumia fasihi na ni mbaya sana, na ina sumu.


nianze na sumu zako ambazo zimekuwa zikirudia rudia, hususani katika maudhui yako.....Kwan a a kabisa... ni hilo chini



Hapa juu naona unafurahia sumu zako...
na baada ya hapo Ukarudia tena hizo jumbe unazorudia rudia







Kwenye uzi huu, amekuwa akiwasuta vijana na Jamii nzima kwa ujumla, pamoja na kwamba ametaja rika fulani, haijalishi kwani hakuna mtu yeyote ambaye hawezi kutia macho kweye mada kama ilivyowakilishwa....

Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya​



Keyword: Tulichopanda?

Yeye na nani?

Nimejiuliza yeye na nani wamepanda na lini wamekuwa wakipanda? rejea juu kwenye jumbe zake zinazorudia rudia utagundua walicho kipanda! Kwani wapo wengi tu humu jamvini.

itaendelea...
Kwa hyo mkuu kushauriwa tusioe single mother ni kuwabagua wanawake? Ebu elezea hii mkuu .
 
Kwema wakuu!

Hizi habari za kuchapiwa, kuchapiana Wake na Wachumba hizi ni Mvua tuu za rasharasha. Tunasema haya ni mavuno ya awali, bado mambo hayajachanganya. Mambo yakichanganya hapa Dunia itakuwa na tafrani.

1. Mliambiwa Mwanamke anatakiwa Aolewe akiwa Bikra, mkasema bikra haimfanyi Mwanamke kuwa mwaminifu. Mkajiona mnaakili kuwashinda Mababu zenu.
Sawasawa, huu ndio muda wa kuvuna mlichopanda.

2. Mliambiwa na Mababu zenu kuwa Mwanamke hapaswi kumiliki uchumi, kupewa nafasi za utawala.
Ninyi mkajiona mnaakili kuwashinda wazee wenu. Hizi ni Mvua za rasharasha tuu. Nafikiri kizazi kinachofuata ndio mavuno yatachanganya.

3. Mliambiwa na Wazee wenu kuwa Hakuna urafiki baina ya mwanaume na Mwanamke. Mkawaona wazee wenu ni hamnazo.
Ati MTU anaruhusu Mkewe ataniwe taniwe hovyo, simu ya Mkeo imejaa chatting akichat na wanaume, Kwa kisingizio ni marafiki zake, sijui wafanyakazi wenzake, sijui classmates gani Huko.
Mtavuna mlichokipanda.
Eleweni kuwa NI ngumu Sana Mwanamke kuchapwa ndani ya siku moja bila mazoea.

4. Mliambiwa mkapuuza, msioe Wanawake wenye watoto, hasa Kwa kijana ambaye ni mdogo. Mkajifanya mnayajua mapenzi kuliko waliowazaa.
Sasa yakiwakuteni mnaanza kupiga mayowe.
Vijana lazima mjue kuwa kuna tofauti ya mapenzi na Ndoa. Mapenzi ni hisia lakini ndoa au familia ni taasisi inayoongozwa Kwa sheria na kanuni. Wakati mapenzi hayana Kanuni wala sheria.
Sio kosa kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na single mother, Ila ni kosa la kimkakati kuingia ndoani na Single mother.

Na hapa nazungumzia Kwa vijana wadogo wenye umri Chini ya miaka 40. Wazee mnaweza kuoa Mwanamke yeyote.

5. Mliambiwa msioe makabila tofauti. Mkajifanya mnaakili kuliko Babu zenu. ATI Kwa kudanganywa na maneno ya kisiasa. Ni kweli Sisi ni taifa moja lakini Sisi ni makabila tofauti yanayounda taifa moja.
Utofauti wa kimakuzi, desturi na Mila huchangia pakubwa kuvurugana ndani ya Familia.
Lakini hamtaki, kisa mnajifanya mmesoma, sijui mnashahada za uzamivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa mtavuna maumivu.

6. Mliambiwa Msiwe na huruma Sana na Wanawake na msiwaamini. Lakini Kwa ulofa wenu mmejichanganya.
Ni kweli wanasura za huruma, ni kweli wanatoaga machozi, ni kweli wanauwezo wa kuigiza ili waonewe huruma lakini kamwe usijichanganye.

Tumieni Akili, tumieni busara na hekima lakini msiongozwe na Huruma za kitoto na mihemko.
Oooh! Nimechepuka mara moja, nisamehe, ni Shetani, hakika Mimi ni Mwanadamu, huku anapiga magoti na kujiuliza. Upuuzi tuu! Sisi kama waafrika hakunaga kitu kinaitwa Msamaha Kwa kesi kama hizo.
Oooh! Huyu mtoto sio wako, Hana kosa lolote. Penda boga na Ua lake. Come on! Mmelogwa

Ooh! Taikon unachuki na Wanawake, hapana sina chuki. Hayo ni matunzo kila mwanaume lazima ayajue.
Vinginevyo vilio havikomi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
The current problems of youth is not relationship, it's all about their mindsets.
 
Hizi habari za kuchapiwa, kuchapiana Wake na Wachumba

bado mambo hayajachanganya

Dunia itakuwa na tafrani.

Sasa yakiwakuteni mnaanza kupiga mayowe.

ni kosa la kimkakati kuingia ndoani na Single mother.

Mwanamke hapaswi kumiliki uchumi,

msioe Wanawake wenye watoto

msioe makabila tofauti

Kwa kudanganywa na maneno ya kisiasa.

Msiwe na huruma Sana na Wanawake na msiwaamini.

ni Shetani

Sisi ni waafrika, kuanzia ngozi, nywele mpaka fikra.
 
hizi ni Mvua tuu za rasharasha.

Mliambiwa

huu ndio muda wa kuvuna mlichopanda.

Ninyi mkajiona mnaakili

Tumieni Akili,


Hayo ni matunzo kila mwanaume lazima ayajue.
Vinginevyo vilio havikomi.
Jumbe hizo juu, na anayesoma ayasome Dadavua.....itaendelea

......Wajumbe shiriki
 
Daaah mwamba umenigusa sana, nimesafiri kikazi nipo mbali kimkoa nimezinguana na wife kwenye simu ananiambia majira ya jioni nisimtafute kwenye simu na Kama nitakuwa mbishi nitajuta nitakachokisikia(anamaanisha anaenda kuliwa), Nina machungu hayana mfano, mafunzo niliyojia huku hata hayanogi kabisa, nipo nawaza atakavyovuliwa chupi(sjui atavaa shanga au cheni, vyote nimenunulia Mimi) ...aaarrgh!!!

Kwa kweli nikiacha huyu mwanamke, sitakuja kuoa tena maisha yangu yote
Pole sana mkuu..
 
Unaogopa wenye Elimu Mkuu.
Mwanamke ni Mwanamke tuu.😂😂
Chief tafiti zangu zime prove kuwa hawa ndoa nyingi zenye migogoro ya kuchapiwa ni zenye wanawake Ambao independent wenye elimu ya juu...Wanawake wengi wa maofisini wanawapenda na kuwaheshimu mabosi zao kuliko waume zao...hawana fear kabisa when comes to their marriages..
 
Robert Heriel,
Inanilazimu kuandika haya machache.

Kwanza niwaambie Watanzania wenzangu

Huyu Robert Heriel is a bigoted mysogynist. Ni mbaguzi wa kimbari na ni mtia chuki kwa Wanawake.



Ipo siku. Mtasoma bandiko hili, lakini itakuwa too late. sumu zake, kama anavyoaashiria, zimewakumba wengi na kwa majivuno ameyakuwa hadharani kwa kificho cha porojo porojo kama kawaisa yake. Amini anachosema, anatumia fasihi na ni mbaya sana, na ina sumu.


nianze na sumu zako ambazo zimekuwa zikirudia rudia, hususani katika maudhui yako.....Kwan a a kabisa... ni hilo chini



Hapa juu naona unafurahia sumu zako...
na baada ya hapo Ukarudia tena hizo jumbe unazorudia rudia







Kwenye uzi huu, amekuwa akiwasuta vijana na Jamii nzima kwa ujumla, pamoja na kwamba ametaja rika fulani, haijalishi kwani hakuna mtu yeyote ambaye hawezi kutia macho kweye mada kama ilivyowakilishwa....

Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya​



Keyword: Tulichopanda?

Yeye na nani?

Nimejiuliza yeye na nani wamepanda na lini wamekuwa wakipanda? rejea juu kwenye jumbe zake zinazorudia rudia utagundua walicho kipanda! Kwani wapo wengi tu humu jamvini.

itaendelea...
[emoji419]
 
Nilikutegemea.

Najua anayefuata ni wewe Mwenyewe.

itaendelea
Kitaeleweka
 
Hao wenye bikra wanapatikana wapi au unataka tuwatongoze wanafunzi WA form 1 na 2 alafu tufungwe.
Tulizeni vichwa, mtawapata tu. Msibebwe na upepo wa walioharibikiwa wakafanikiwa kuwashawishi kuwa wao ndiyo wamebaki na kwamba eti what matters ni mapenzi. Hizo ni story tu.
 
Back
Top Bottom