Mlikutana wapi wewe na mke/mume au mpenzi wako?

Ulivyotaja kilingeni nikakumbuka mengi.. Nimepamiss[emoji2827]
 
Kilabuni.Nilimuagizia burugutu akanipenda.
 
Mimi meneja kampeni kijana kataa ndoa...sina sweetheart wala honeyboo, sina mpenzi, sina stress, situmi ya kutolea..wazazi wanafikiri mpweke haha hell no,unakuaje na PS5,unlimited data then unakua mpweke..I don't know nikimpata kiboko yangu nitarudi

endelea kujifariji mkuu ety PS5 na bando unlimited[emoji23] tena nyie ndo wapweke vibaya sana[emoji1787][emoji174]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…