James Gatz
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 301
- 319
Style gani?hii style IPO in progress,sijui kama itakuja Ku tiki✔😂😬😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Style gani?hii style IPO in progress,sijui kama itakuja Ku tiki✔😂😬😢
Ni binamu yako au?Kwenye kikao cha familia
Mbona huu mwandiko kama wa jobless,Mie nilikutana nae bank niliendwa kutambulishwa nikiwa ndo nimeajiriwa kwenye hiyo wilaya nikatambulishwa mtoto nilivomuona nikasema yeees huyu ni mke wangu from there its history now tuna watoto 2 miaka 7 ya ndoa
Ulivyotaja kilingeni nikakumbuka mengi.. Nimepamiss[emoji2827]Kuna watu walikutana na wenza wao katika maeneo kama haya
1. Gulioni
2. Kwenye matamasha
3. Kanisani ama msikitini
4. Stendi ya basi
5. Kilingeni
6. ofisini
7. Kwenye kampeni za uchaguzi
8. JF
NK
Waliyajenga na leo hii ni wanandoa wenye familia zao.
Mie nilikutana naye kanisani tukayajenga tukawa mwili mmoja, na mwaka huu tutasherehekea anniversary ya robo karne ya ndoa yetu.
Wewe ulikutana naye wapi?
Una wivuMbona huu mwandiko kama wa jobless,
Enewei hongera mkuu
Na ukammiss na DemissUlivyotaja kilingeni nikakumbuka mengi.. Nimepamiss[emoji2827]
Kilabuni.Nilimuagizia burugutu akanipenda.Kuna watu walikutana na wenza wao katika maeneo kama haya
1. Gulioni
2. Kwenye matamasha
3. Kanisani ama msikitini
4. Stendi ya basi
5. Kilingeni
6. ofisini
7. Kwenye kampeni za uchaguzi
8. JF
NK
Waliyajenga na leo hii ni wanandoa wenye familia zao.
Mie nilikutana naye kanisani tukayajenga tukawa mwili mmoja, na mwaka huu tutasherehekea anniversary ya robo karne ya ndoa yetu.
Wewe ulikutana naye wapi?
Wivu anao bibi yakoUna wivu
Hongera sanaClub na tulianza kama utani now 7 years with 2 kids
Bibi angu hana wivuWivu anao bibi yako
Hahahah ndioNa ukammiss na Demiss
Sawa mzee nimekuelewaBasi mheshimu Mkeo
Safiiii sana jiraniSina mwenza
Asante sanaHongera sana
Mimi meneja kampeni kijana kataa ndoa...sina sweetheart wala honeyboo, sina mpenzi, sina stress, situmi ya kutolea..wazazi wanafikiri mpweke haha hell no,unakuaje na PS5,unlimited data then unakua mpweke..I don't know nikimpata kiboko yangu nitarudi
Boss Upweke is a choice,,kuna mambo mengi ya kufanya kujiweka busy..endelea kujifariji mkuu ety PS5 na bando unlimited[emoji23] tena nyie ndo wapweke vibaya sana[emoji1787][emoji174]