Kuna wana humu kila siku wanaandika nyuzi wakitafuta wenza. Leo tuwasanue wafanye nini ili watoboe wasipende miteremko..
Nikianza:
Mimi wakati nipo chuo pale Moro, mshikaji wangu alikuja na manzi(demu wake) tukawa tunapiga story, nikamvuta manzi pembeni tukapiga story mbili tatu demu kanogewa kachukua namba, usiku saa nne sms mbili tu mpenzi ninae.
Baada ya week mbili nakaribia kuchoka mbususu, naambiwa huyo demu wa mshikaji wako. nikamwambia hukunitambulishaπππ..... kibaya zaidi jamaa hakuwahi pewa... na kwangu alikuja kuchukuliwa na mtu mwingine tena rafiki... anapenda marafiki sana... π π
Anyway usiwe domo zege.
Share experience wewe ulimpataje mpenzi wako na ilikua wapi na ilikuaje.