Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Chuowewe na mpenzi wako katika kuanzisha mahusiano yenu ya kimapenzai, je at the first day mlimeet mahala gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuowewe na mpenzi wako katika kuanzisha mahusiano yenu ya kimapenzai, je at the first day mlimeet mahala gani?
Hongereni
Kama mie
Mie kwenye Bus from Mbeya to Dar es salaamtuambie wewe kwanza,
Bankwewe na mpenzi wako katika kuanzisha mahusiano yenu ya kimapenzai, je at the first day mlimeet mahala gani?
Asante kwa niabaHongereni
Hahaha vizur Sana mkuuMimi na wife, tulikutana makaburini pale Buguruni mkabala na Sokoni. Na good enough kumbe na yeye alikua member wa Jf...teh!!
Kuna time huwa tunakumbushana tunacheka sana
HahahaaaaaMimi na wife, tulikutana makaburini pale Buguruni mkabala na Sokoni. Na good enough kumbe na yeye alikua member wa Jf...teh!!
Kuna time huwa tunakumbushana tunacheka sana
Hongera zako mkuu, Nahisi atakua Ni mke mwema kwakoShe is my neighbor "a little far from home"
Nilimfundisha hesabu alipo kua form 2 hapo mimi nimemaliza form 4.
Kamaliza form 6 tukaanza ku date rasmi till now.
Mama Zetu ni marafiki sana toka kitambo
Nakumbuka siku moja Mama aliwahi nitamkia "ingekua ni zile Zama zetu za kuchaguliwa mke ningependa uje uoe kwa flani 'kwao uyo binti', ila mwanangu najua wakati bado ila Muangalie binti wa kwa flani napendezwa nae hata ukianza nae urafiki sio mbaya miaka minne mi tano sio mbali " .
Kimoyoni nikajisemea mother ungejua.
Ila sasa nahis Mama anafaham japo hana uwakika.
Kati ya wanaume wenye binti mrembo basi nami ni mmoja wapo, she is beautiful very beautiful she is smart too.
Mungu mlinde mrembo wangu.
Hahaha muiteHapa JF
Na hata ukitaka nimwite nakuitia
Endelea kusubiriBado hatujakutana
Sijui lini ntakutana nae !!