Mlikutana wapi wewe na mke/mume au mpenzi wako?

Mlikutana wapi wewe na mke/mume au mpenzi wako?

Boss wangubaliniunganisha na wanae bila yeye kujua; boss alitumia simu ya mwane kunipigie simu yake iliingizwa kwenye maji na mwanae mmoja mtukutu ki bahati mbaya.

Kwa vile boss alikua ananiamini na kushibana sana hivyo alijua namba yangu kichwani. Baada ya siku tatu kuipiga namba ile mtoto wa boss akapokea aisee mtoto saiti na kuongea yake tu ilikua inatoa picha kua mtoto yupo poa sana ; kumbe tulimaliza chuo mwaka mmoja na tukawa wote ndo tumeshaanza kazi tayari.
Niliomba urafiki wa mazoea baadae uchumba na siku anakuja kunitambulisha boss alicheka balaa make aliniambia ofisini kua mwanae anakuja kumtambulisha mchumba wake nyumbani; mimi nikawaombea tu mapkezi mema nikiwa namtania boss usikaze sana. Alishangaa siku ya siku ananiona na marafiki zangu wawili mzee alianza kufuta vumbi machoni akiisi kama macho yake yanashida siyo mimi. Baadae akawa ananiambia mbona sikuwahi kubadilika kuanza kumuogopa ofisini? Nikamjibu ?mpaka nilipomwona ndo nikaamini kua wife ni mwanae. Mungu alishatujalia watoto sana na wife mtoto wa Boss.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unanikumbusha machungu mkuu!
Bas baada ya kunielekeza alivyo kumbe Kuna siku nilikua nasoma kwenye jengo flan na yeye alikuwepo macho yakagongana..... basi ikawa kila siku tukiwa kwenye zile kozi zinazotujuimuisha wote kama DS (developmental study) akawa ananiangalia sana na mimi nikawa nimemuelewa ila nikavunga kumfungia hadi pale uvumilivu ulipomshinda akanitafuta maana alikua kisu hatari!

Basi bhana siku hiyo mzee usingiz ulikua mtamu sana maana kesho yake ndo siku naenda kukutana na mtoto aliyenitafuta mwenyewe yaani kama dhahabu basi nilikua nimeikotoa kwenye kimbweta(vidude flan vya kusomea wale wa udsm wanavifahamu) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli tunaonana akanipigisha story nyingi sana jinsi alivyotafuta information zangu zote yaani kuanzia wapi nimesema olevel mpaka advance.... Na akaniambia hakutaka kutaja jana lake halisi ile mara ya kwanza alikua anataka aone ntampokeaje!

Basi ndo mapenzi yakaanzia hapo kila siku akawa ananisindikiza home usiku maana yeye alikua anakaa hostel ko njiani full kudendeka!

Mpaka alipokuja kupeperuka yule njiwa wangu[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hahah dah! Pole mkuu Vyombo vikali wenzio huwa hatuviachi viende kizembe zembe
 
Boss wangubaliniunganisha na wanae bila yeye kujua; boss alitumia simu ya mwane kunipigie simu yake iliingizwa kwenye maji na mwanae mmoja mtukutu ki bahati mbaya.

Kwa vile boss alikua ananiamini na kushibana sana hivyo alijua namba yangu kichwani. Baada ya siku tatu kuipiga namba ile mtoto wa boss akapokea aisee mtoto saiti na kuongea yake tu ilikua inatoa picha kua mtoto yupo poa sana ; kumbe tulimaliza chuo mwaka mmoja na tukawa wote ndo tumeshaanza kazi tayari.
Niliomba urafiki wa mazoea baadae uchumba na siku anakuja kunitambulisha boss alicheka balaa make aliniambia ofisini kua mwanae anakuja kumtambulisha mchumba wake nyumbani; mimi nikawaombea tu mapkezi mema nikiwa namtania boss usikaze sana. Alishangaa siku ya siku ananiona na marafiki zangu wawili mzee alianza kufuta vumbi machoni akiisi kama macho yake yanashida siyo mimi. Baadae akawa ananiambia mbona sikuwahi kubadilika kuanza kumuogopa ofisini? Nikamjibu ?mpaka nilipomwona ndo nikaamini kua wife ni mwanae. Mungu alishatujalia watoto sana na wife mtoto wa Boss.
Na bado unaendeleza kautani na baba mkwe aka Boss
 
Siku moja nilienda lodge na demu wangu,tulipofika mapokezi nikamkuta jamaa mmoja yupo pia na demu wake,hatujuani,
Baada ya kupewa vyumba nikatoka kwenda kununua chakula nje(kitimoto),yule jamaa aliyekuwa na demu nadhani aliogopa kwenda maeneo yale yanayouzwa kitimoto akamtuma yule mwanamke wake,tukakutana tunaagiza nyama pale tukasalimiana tena na utani wa hapa na pale kwamba kwa msosi huo leo lazima nyasi zing'oke,akacheeka cheka pale tukapeana namba za simu,tukaanza kuwasiliana taratibu mapenzi yakaanza,hadi leo hii ndio naishi nae ndani kama mume na mke
Kumbuka huyo jamaa uliye mpokonya bado anapasha kipoloooo
 
Na bado unaendeleza kautani na baba mkwe aka Boss
Tulishabadilisha kampuni ila matani yanaendelea kama kawa; tutatoka na kukutana sehemu na mzee baba tukijadili dili alafu tunagawana chapaa dili ikiitikia. Mzee babaa hua mkali sana wakati wa mshiko ila nami namkazia simwachii ata chenchi make namtunza mwanae pia.
 
Thank you so much Kasie Mnyamwezi
🌹🌹🌹


Hahahahahahhaasa wewe B to the K, ni hivi karibuni ndo umetambua Kasie ni mnyamwezi? Sio kwa kupigia mstari huko heheheheee
No harm by the way.

Karibu morning swimming before breakfast, hadi jumapili nahisi ntakuwa kambale mzee.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wallahi nilikuwa sijui kama weye ni wa kabila kubwa. Ogelea kwa raha zako and always remember that swimming 🏊🏽‍♀️ is good for your heart 🌹🌹🌹

Hahahahahahhaasa wewe B to the K, ni hivi karibuni ndo umetambua Kasie ni mnyamwezi? Sio kwa kupigia mstari huko heheheheee
No harm by the way.

Karibu morning swimming before breakfast, hadi jumapili nahisi ntakuwa kambale mzee.
 
Wallahi nilikuwa sijui kama weye ni wa kabila kubwa. Ogelea kwa raha zako and always remember that swimming 🏊🏽‍♀️ is good for your heart 🌹🌹🌹

Kudos.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Siku moja nilienda lodge na demu wangu,tulipofika mapokezi nikamkuta jamaa mmoja yupo pia na demu wake,hatujuani,
Baada ya kupewa vyumba nikatoka kwenda kununua chakula nje(kitimoto),yule jamaa aliyekuwa na demu nadhani aliogopa kwenda maeneo yale yanayouzwa kitimoto akamtuma yule mwanamke wake,tukakutana tunaagiza nyama pale tukasalimiana tena na utani wa hapa na pale kwamba kwa msosi huo leo lazima nyasi zing'oke,akacheeka cheka pale tukapeana namba za simu,tukaanza kuwasiliana taratibu mapenzi yakaanza,hadi leo hii ndio naishi nae ndani kama mume na mke
Aisee hilo balaaa...Yani umemkuta anagongwa gest na wewe ukaliunga jumlaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Nikiwa high school tosamaganga iringa yy alikua Lugalo girls hapo hapo mkoani.Mi mwenyej mkoan ye kaja kusoma tu.Hatukua tunajuana though mpaka baada ya kumaliza advance tukakutana kikazi kwenye NGO moja hiv ambayo ilikua ikitumia form 6 leavers kama volunteers hapo hapo iringa.NGO hii kwa hapa dar wana ofis zao pale Nakiete (restless development enz hizo wakiitwa SPW -student partnership worldwide).

Hapo ndio tukajuana rasmi.Mwaka uliofuata tukaingia chuo.Na mwaka huo huo aka conceive na mwaka unaofuata akajifungua.Tulipomaliza mwaka wa tatu tukaingia kwenye maisha .2 years baadae tukarasimisha mahusiano kanisan na kwa sasa tumejaaliwa watoto kadhaa.She was my first ever girl n nw she is my wife foerverrrr.

SPW umenikumbusha Mbali sana mkuu
 
Back
Top Bottom