Mlikutana wapi wewe na mke/mume au mpenzi wako?

Mlikutana wapi wewe na mke/mume au mpenzi wako?

tuna miaka 6 sasa pamoja
emoji7.png
emoji3060.png
Ninyi ni mwili mmoja sasa
 
Mimi wangu ilikuwa hivi nilikuwa na manzi napiga kisela sasa siku Moja usiku akanipigia simu kwamba yupo coco beach na friend wake niende ..Mimi mida hiyo nipo nacheki game ya UEFA Makumbusho nikamjibu siwezi kuja huko njooni makumbusho bajaji nitalipa nimekaa mda simu wamefika naenda wapokea aseee nakutana amaniletea pisi Moja hatari wife material ..asee nazani yule dada huko alipo Hadi Leo anajuta sana ..nilikaa na wale mamanzi nikawaambia wale watakacho ikawa hivyo Sasa kosa Moja yule manzi yangu alivyoenda washroom nikachukua Namba Kwa mbinde sana .

Kufupisha story tulimrudisha kwao me nikaenda na manzi yangu kupiga .After week tukachekiana na yule dada na Hadi Leo ni Mke wangu wa ndo na tuna watoto wawili.
 
Kuna watu walikutana na wenza wao katika maeneo kama haya
1. Gulioni
2. Kwenye matamasha
3. Kanisani ama msikitini
4. Stendi ya basi
5. Kilingeni
6. ofisini
7. Kwenye kampeni za uchaguzi
8. JF
NK

Waliyajenga na leo hii ni wanandoa wenye familia zao.

Mie nilikutana naye kanisani tukayajenga tukawa mwili mmoja, na mwaka huu tutasherehekea anniversary ya robo karne ya ndoa yetu.

Wewe ulikutana naye wapi?
Kwenye kikao cha familia
 
Kuna watu walikutana na wenza wao katika maeneo kama haya
1. Gulioni
2. Kwenye matamasha
3. Kanisani ama msikitini
4. Stendi ya basi
5. Kilingeni
6. ofisini
7. Kwenye kampeni za uchaguzi
8. JF
NK

Waliyajenga na leo hii ni wanandoa wenye familia zao.

Mie nilikutana naye kanisani tukayajenga tukawa mwili mmoja, na mwaka huu tutasherehekea anniversary ya robo karne ya ndoa yetu.

Wewe ulikutana naye wapi?
Mie nilikutana nae bank niliendwa kutambulishwa nikiwa ndo nimeajiriwa kwenye hiyo wilaya nikatambulishwa mtoto nilivomuona nikasema yeees huyu ni mke wangu from there its history now tuna watoto 2 miaka 7 ya ndoa
 
Mimi wangu ilikuwa hivi nilikuwa na manzi napiga kisela sasa siku Moja usiku akanipigia simu kwamba yupo coco beach na friend wake niende ..Mimi mida hiyo nipo nacheki game ya UEFA Makumbusho nikamjibu siwezi kuja huko njooni makumbusho bajaji nitalipa nimekaa mda simu wamefika naenda wapokea aseee nakutana amaniletea pisi Moja hatari wife material ..asee nazani yule dada huko alipo Hadi Leo anajuta sana ..nilikaa na wale mamanzi nikawaambia wale watakacho ikawa hivyo Sasa kosa Moja yule manzi yangu alivyoenda washroom nikachukua Namba Kwa mbinde sana .

Kufupisha story tulimrudisha kwao me nikaenda na manzi yangu kupiga .After week tukachekiana na yule dada na Hadi Leo ni Mke wangu wa ndo na tuna watoto wawili.
Hii kwa kitalaamu tuite round about
 
Back
Top Bottom