Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mzeeee nilimpata oale RED STONE Mzee sema niliiopoa kwa usiku mmoko , toto. Likatiki likabiambia A to Z mzee nilisaidie mtaji wa biashara ili niwe najilia daily for free huko huko nikazama mazima now ni 1 + year[emoji23][emoji23][emoji23] bado uko Moshi Mkuu
Shuleni
Kibooo ilikuwa ni gold chance bila shakaMie tulienda kununua jeneza kwa ajili ya kumuhifadhi ndugu yangu, na yeye ndy alikuwa muuzaji.
The rest is history... Hadi saizi hiyoooo
Dah ndugu yangu umri umesogea kidogo .Hapo kwenye kunywa ulabu na kugegeda tubinti haupo sawa mkuu, tulia na mtunza hazina wako au kama nguvu bado unazo ingia kwenye mfumo wa Polygamy tu ujiepushe na uzinzi
Si utuoe kabisa huto tubinti bwashee!!Ndugu kwa hutu tubinti natafuta katoto maana kwa mtunza hazina na umri huu bado kubahatika ndugu.
Nisiingeweza kuandika kila pahali, badala yake nimetumia neno NK (na kadhalika) hivyo hiyo sehemu imo ndani ya NK, unachopaswa kufanya wewe ni kuitaja tu tutaelewa.Nilipokutana nae hujapaandika.
Hujasema ulimjulia Jf !!Niliunganishwa na rafiki yangu, nikabaki kupambania kombe hatimaye nikatoboa
Kutuoa sio kweli .Si utuoe kabisa huto tubinti bwashee!!
Kama huwezi kutuoa basi acha uzinzi
Hongera sana mshukuru possible kwa kukupa mke
Unajipenda kweli?Kutuoa sio kweli .
Maana tutakuja kunigombanisha na mweka hazina wangu ( mama la mama)
Bado nachunguza kenye adabu nikazalishe nipate mbegu yangu.
Najipenda kuliko unavyodhaniUnajipenda kweli ?
Basi mheshimu MkeoNajipenda kuliko unavyodhani
Hapo sawa maana hata mie sikumuelewa aliposema umepata mke ilhali wewe ni mwanamke 🤣Sio mke mkuu ni mume![]()
![]()
Ilikuwa ni lunch time bila shakaMkahawani
Hapo sawa maana hata mie sikumuelewa aliposema umepata mke ilhali wewe ni mwanamke [emoji1787]