Mlima Kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu ikiwa ni mara ya tatu kwa mwezi Oktoba 2022

Tuko na mbunge wa Jimbo la Hai naona anafurahia tu kuona moto ukiwaka naye anashangaa kama sisi tunavyo shangaa.

Cha kushangaza moto huo unawaja kutokea upande wa Jimbo la Hai.
 
Tuko na mbunge wa Jimbo la Hai naona anafurahia tu kuona moto ukiwaka naye anashangaa kama sisi tunavyo shangaa.

Cha kushangaza moto huo unawaja kutokea upande wa Jimbo la Hai.
Unawaka upande wa marangu sio machame
 

Attachments

  • B8F5089E-2D75-4134-96F4-67E00E449A67.jpeg
    588.5 KB · Views: 3
  • 70C3E4DA-2D4D-4B45-8BA9-951B3377F3E5.jpeg
    509.4 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…