Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Kama ni Ke?Unataka ufanyeje[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni Ke?Unataka ufanyeje[emoji849]
Mbona una dhiki sana? Inashangaza sikujui hunijui; povu la nini?Nimegairi. Haya kanye ulale. Ni amri
Sasa si umewaka tenaPoleni
Waziri Pindi Chana alikagua mlima Wote kwa Chopa akasema Moto umezimwa, imekuwaje tena?!
Nahisi wanachoma makusudiBila kujua vyanzo vya hiyo mioto, kila mara kutakuwa kunawaka huko
Amekuzidi kila kitu!!!?Roho mbaya kwa mtu ambaye amenizidi kila kitu mi nimetoa maoni nafuata kauli mbiu ya jf the dare to talk openly shida iko wapi mkuu
Huo Moto wa Sodoma uliuona wapi mwenzetuMOTO UNAOPIGA LEO NI BALAA UNAWEZA SEMA NI NI KILE KIBIRITI KILIPGWA SODOMA
Basi mnauwasha makusudi Ili mpate pesa ya kuzimiaMkuu usiku huu mlimani kuna moto wa ajabu.
Ni moto mkubwa kupata kutokea
Bara zima la Afrika, hatujafikia huko kwenye kuwepo kwa mioto ya asili msituni, hatuna hali ya hewa ya kutisha kiasi cha kusababisha moto... Hapo lazima kuna mtu katia kiberiti... Kila nikiona habari za Moto Kilimanjaro... Nakumbuka wale mbwa waliokufa kule kruga NP S.AUsisahau kuna mioto ya asili ya mstuni (wild fires).
Ndio ni mkubwa kweliUnawaka mda huu au fix?
KUNA NJAMA NINI ILI WAENDELEE KUPATA ULAJI LAINI NA MWEPESI,KUTOKA KWENYE FUKO LA UMMA.Poleni
Waziri Pindi Chana alikagua mlima Wote kwa Chopa akasema Moto umezimwa, imekuwaje tena?!
Mmewasha?Sasa si umewaka tena
Nimesema tulia weweeMbona una dhiki sana? Inashangaza sikujui hunijui; povu la nini?
Kivipi?Nimesema tulia wewee
Wala sijakata tamaa nilitaka kutoa ushindi kwa mpinzani maana naona ilikuwa anaelekea siko nikaona nimpe ushindi si umeona ametulia nilivyomjibu [emoji1787][emoji1787]Amekuzidi kila kitu!!!?
Usijikatie tamaa namna hiyo mie najua kuna ulichomzidi [emoji38]