Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

hayawani bado yuko unamwita baba.

maslahi ya taifa huyajui wewe tuliza kalio uelekezwe,anayejua nini maana ya maslahi ya taifa hawezi kumbeza jpm hata siku moja.
hahaa, nyioe wafuasi wa hayawani mna akili za kihayawani tu, huna hoja yoyote zaidi ya kutamka makalio makalio, makalio mbona baba na mama yako pia wanayo?
 
hahaa, nyioe wafuasi wa hayawani mna akili za kihayawani tu, huna hoja yoyote zaidi ya kutamka makalio makalio, makalio mbona baba na mama yako pia wanayo?
ndio maama nakwambia yatulize wewe sio wa kwanza kuwa nayo.
 
sibaki ila sijaua na kufanya udikteta kama huyo fala.
Hujafanya udikteta ila hujajenga Ubungo flyover kama yeye, na bado unakula wadada wa watu kiboga.., moto wako ni mkali sawia na wake kama si zaidi. Muache Shujaa apumzike.
 
mwanamke kutikisa kalio ni sehemu ya urembo,ila mwanaume kama wewe kutikisa kalio ni mkosi na laana.
kwa hiyo mama yako anayatikisa? naomba unitumie namba zake inbox basi tuwe marafiki, achana na haya masiasa
 
Kwani maiti za kwenye viroba huko koko beach huwa zinahusika moja kwa moja na taasisi ya rais?

Umeuliza kosa la Samia, kosa moja ni upendeleo wa kuachia hali yenye kufanya chama chake ccm kufanya mikutano ila vyama vya upinzani kuzuiliwa na yeye kukaa kimya kwa maana ameridhia jambo hilo.
Hivi police wakikuta mzigo wa bangi nyumbani kwako atakae wajibika hapo ni watoto au baba mwenye nyumba.....?

Mzee mbona unaupeo finyu hivyo
 
Lini watu waliacha kuteseka? Sasa hivi ukiwauliza wamachinga watakwambia wanateseka nao. Au teja wewe ulikuwa unateseka kupata unga enzi za dikteta?
Kama machinga hafuati sheria ana panga vitu vyake kwenye hifadhi ya barabara hapo serikali inakosa gani?.? Sheria zimekataza mtu kufanya biashara ndani ya hufadhi ya barabara au huna ubongo wa kuchanganua. Sio kila ambalo watu watasema wanaonewa litakua kweli mengine ujinga tu na ubishi wetu sisi raia.
 
Kama machinga hafuati sheria ana panga vitu vyake kwenye hifadhi ya barabara hapo serikali inakosa gani?.? Sheria zimekataza mtu kufanya biashara ndani ya hufadhi ya barabara au huna ubongo wa kuchanganua. Sio kila ambalo watu watasema wanaonewa litakua kweli mengine ujinga tu na ubishi wetu sisi raia.
Na ndio hata kipindi cha Magu ilikuwa hivyo hivyo malalamiko mengi ni ujinga na kuminywa mirija.
 
Tanzania ilikua chini ya ukoloni wa mtu mweusi kwa miaka 6.
 
Back
Top Bottom